Yoeli 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova atapaza sauti mbele ya jeshi lake,+ kwa maana jeshi lake ni kubwa sana.+ Kwa maana anayetekeleza neno Lake ni mwenye nguvu;Kwa maana siku ya Yehova ni kuu na inaogopesha sana.+ Ni nani anayeweza kuistahimili?”+
11 Yehova atapaza sauti mbele ya jeshi lake,+ kwa maana jeshi lake ni kubwa sana.+ Kwa maana anayetekeleza neno Lake ni mwenye nguvu;Kwa maana siku ya Yehova ni kuu na inaogopesha sana.+ Ni nani anayeweza kuistahimili?”+