Ufunuo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi zile ngurumo saba zilipozungumza, nilikuwa karibu kuandika; lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema: “Yatie muhuri mambo ambayo zile ngurumo saba zilisema, nawe usiyaandike.”
4 Basi zile ngurumo saba zilipozungumza, nilikuwa karibu kuandika; lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema: “Yatie muhuri mambo ambayo zile ngurumo saba zilisema, nawe usiyaandike.”