Ufunuo 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema nami tena na kuniambia: “Nenda, ukichukue kile kitabu cha kukunjwa kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika ambaye amesimama juu ya bahari na juu ya dunia.”+
8 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema nami tena na kuniambia: “Nenda, ukichukue kile kitabu cha kukunjwa kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika ambaye amesimama juu ya bahari na juu ya dunia.”+