5 Kwa hiyo, yule atakayeshinda+ atavikwa mavazi meupe,+ na kwa vyovyote sitalifuta* jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu na mbele ya malaika zake.+
27 Lakini chochote kilicho najisi na yeyote anayetenda mambo yanayochukiza na ya udanganyifu hataingia kamwe humo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwanakondoo.+