Mathayo 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Waebrania 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa kuwa mnahitaji uvumilivu,+ ili baada ya kufanya mapenzi ya Mungu, mpokee utimizo wa ile ahadi. Waebrania 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa kweli, mfikirieni sana yule ambaye amevumilia maneno makali kama hayo kutoka kwa watenda dhambi+ kinyume cha faida zao wenyewe, ili msichoke na kukata tamaa.*+
36 Kwa kuwa mnahitaji uvumilivu,+ ili baada ya kufanya mapenzi ya Mungu, mpokee utimizo wa ile ahadi.
3 Kwa kweli, mfikirieni sana yule ambaye amevumilia maneno makali kama hayo kutoka kwa watenda dhambi+ kinyume cha faida zao wenyewe, ili msichoke na kukata tamaa.*+