29 Ninajua kwamba nitakapoondoka mbwamwitu wenye kukandamiza wataingia miongoni mwenu+ nao hawatalitendea kundi kwa wororo, 30 na kutoka miongoni mwenu watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+
4Wapendwa, msiamini kila neno lililoongozwa na roho,*+ lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatoka kwa Mungu,+ kwa kuwa manabii wengi wa uwongo wameingia ulimwenguni.+