52 kwa muda mfupi, kufumba na kufumbua* jicho, wakati wa tarumbeta ya mwisho. Kwa maana tarumbeta italia,+ na wafu watafufuliwa wakiwa wasioweza kuharibika, nasi tutabadilishwa.
10 Lengo langu ni kumjua yeye na nguvu za ufufuo wake+ na kushiriki katika mateso yake,+ nikijitiisha kwenye kifo kama chake,+11 ili kuona kama ikiwezekana nitaufikia ufufuo wa mapema kutoka kwa wafu.+
16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni akiwa na mwito wenye amri, kwa sauti ya malaika mkuu+ na tarumbeta ya Mungu, na wale waliokufa katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza.+