Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, mtakuwa wenye furaha mkiyatenda.+ Ufunuo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwenye furaha ni yule anayesoma kwa sauti na wale wanaosikia maneno ya unabii huu, na wanaoshika mambo yaliyoandikwa humo,+ kwa kuwa wakati uliowekwa uko karibu.
3 Mwenye furaha ni yule anayesoma kwa sauti na wale wanaosikia maneno ya unabii huu, na wanaoshika mambo yaliyoandikwa humo,+ kwa kuwa wakati uliowekwa uko karibu.