Zaburi 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+ Luka 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini Yesu akasema: “Hapana, badala yake, wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+ Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, mtakuwa wenye furaha mkiyatenda.+ Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo.
2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+
28 Lakini Yesu akasema: “Hapana, badala yake, wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo.