Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+

      Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+

  • Luka 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Lakini Yesu akasema: “Hapana, badala yake, wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+

  • Yohana 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ikiwa mnajua mambo haya, mtakuwa wenye furaha mkiyatenda.+

  • Yakobo 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki