Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo, shikeni maneno ya agano hili na kuyatii, ili kila jambo mnalofanya lifanikiwe.+

  • Zaburi 1:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Mwenye furaha ni mtu ambaye hatembei katika mashauri ya waovu

      Na hasimami katika njia ya watenda dhambi+

      Naye haketi katika kiti cha wenye dhihaka.+

       2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+

      Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini* mchana na usiku.+

  • Zaburi 112:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 112 Msifuni Yah!*+

      א [Aleph]

      Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+

      ב [Beth]

      Anayependezwa sana na amri zake.+

  • Zaburi 119:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wenye furaha ni wale wanaoshika vikumbusho vyake,+

      Wanaomtafuta kwa moyo wao wote.+

  • Mathayo 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+

  • Yakobo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki