Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 24
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Daudi awapanga makuhani katika vikundi 24 (1-19)

      • Kazi nyingine za Walawi (20-31)

1 Mambo ya Nyakati 24:1

Marejeo

  • +Law 10:1
  • +Kut 6:23; 28:1

1 Mambo ya Nyakati 24:2

Marejeo

  • +Hes 26:61
  • +Hes 16:39, 40

1 Mambo ya Nyakati 24:3

Marejeo

  • +2Sa 8:17

1 Mambo ya Nyakati 24:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

1 Mambo ya Nyakati 24:5

Marejeo

  • +Met 16:33

1 Mambo ya Nyakati 24:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +1Fa 2:35
  • +2Sa 8:17
  • +2Sa 19:11; 1Fa 1:5, 7

1 Mambo ya Nyakati 24:10

Marejeo

  • +Lu 1:5

1 Mambo ya Nyakati 24:19

Marejeo

  • +2Fa 11:9; Lu 1:8, 23

1 Mambo ya Nyakati 24:20

Marejeo

  • +Kut 6:18
  • +1Nya 23:16; 26:24

1 Mambo ya Nyakati 24:21

Marejeo

  • +1Nya 23:17

1 Mambo ya Nyakati 24:22

Marejeo

  • +1Nya 23:18

1 Mambo ya Nyakati 24:23

Marejeo

  • +1Nya 26:31

1 Mambo ya Nyakati 24:26

Marejeo

  • +Mwa 46:11

1 Mambo ya Nyakati 24:28

Marejeo

  • +1Nya 23:22

1 Mambo ya Nyakati 24:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

1 Mambo ya Nyakati 24:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +Met 16:33

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 24:1Law 10:1
1 Nya. 24:1Kut 6:23; 28:1
1 Nya. 24:2Hes 26:61
1 Nya. 24:2Hes 16:39, 40
1 Nya. 24:32Sa 8:17
1 Nya. 24:5Met 16:33
1 Nya. 24:61Fa 2:35
1 Nya. 24:62Sa 8:17
1 Nya. 24:62Sa 19:11; 1Fa 1:5, 7
1 Nya. 24:10Lu 1:5
1 Nya. 24:192Fa 11:9; Lu 1:8, 23
1 Nya. 24:20Kut 6:18
1 Nya. 24:201Nya 23:16; 26:24
1 Nya. 24:211Nya 23:17
1 Nya. 24:221Nya 23:18
1 Nya. 24:231Nya 26:31
1 Nya. 24:26Mwa 46:11
1 Nya. 24:281Nya 23:22
1 Nya. 24:31Met 16:33
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 24:1-31

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

24 Basi hivi ndivyo vilivyokuwa vikundi vya wazao wa Haruni: Wana wa Haruni walikuwa Nadabu, Abihu,+ Eleazari, na Ithamari.+ 2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote; lakini Eleazari+ na Ithamari waliendelea kutumikia wakiwa makuhani. 3 Daudi, pamoja na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari na Ahimeleki kutoka kwa wana wa Ithamari, waliwagawa katika vikundi kulingana na mpangilio wao wa utumishi. 4 Kwa kuwa wana wa Eleazari walikuwa na viongozi wengi kuliko wana wa Ithamari, waliwagawa ifaavyo: Wana wa Eleazari walikuwa na viongozi 16 wa koo zao,* na wana wa Ithamari walikuwa na viongozi 8 wa koo zao.*

5 Pia, waliwagawa kwa kura,+ kikundi kimoja pamoja na kingine, kwa maana kulikuwa na wakuu wa mahali patakatifu na wakuu wa Mungu wa kweli kutoka kwa wana wa Eleazari na pia wana wa Ithamari. 6 Kisha Shemaya mwana wa Nethaneli mwandishi wa Walawi akaandika majina yao mbele ya mfalme, wakuu, kuhani Sadoki,+ Ahimeleki+ mwana wa Abiathari,+ na viongozi wa koo* za makuhani na za Walawi, ukoo* mmoja ulichaguliwa kutoka kwa Eleazari na ukoo mmoja ulichaguliwa kutoka kwa Ithamari.

7 Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu; ya pili Yedaya, 8 ya tatu Harimu, ya nne Seorimu, 9 ya tano Malkiya, ya sita Miyamini, 10 ya saba Hakozi, ya nane Abiya,+ 11 ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania, 12 ya 11 Eliashibu, ya 12 Yakimu, 13 ya 13 Hupa, ya 14 Yeshebeabu, 14 ya 15 Bilga, ya 16 Imeri, 15 ya 17 Heziri, ya 18 Hapisesi, 16 ya 19 Pethahia, ya 20 Yehezkeli, 17 ya 21 Yakini, ya 22 Gamuli, 18 ya 23 Delaya, ya 24 Maazia.

19 Huo ndio uliokuwa mpangilio wao wa utumishi+ walipokuwa wakiingia katika nyumba ya Yehova kulingana na utaratibu uliowekwa na Haruni babu yao, kama Yehova Mungu wa Israeli alivyokuwa amemwamuru.

20 Hawa ndio Walawi waliobaki: kutoka kwa wana wa Amramu+ kulikuwa na Shubaeli;+ kutoka kwa wana wa Shubaeli, Yehdeya; 21 wana wa Rehabia:+ kutoka kwa wana wa Rehabia, Ishia kiongozi wao; 22 kutoka kwa Waishari, Shelomothi;+ kutoka kwa wana wa Shelomothi, Yahathi; 23 na kutoka kwa wana wa Hebroni, Yeria+ kiongozi wao, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, wa nne Yekameamu; 24 kutoka kwa wana wa Uzieli, Mika; kutoka kwa wana wa Mika, Shamiri. 25 Ndugu ya Mika alikuwa Ishia; kutoka kwa wana wa Ishia, Zekaria.

26 Wana wa Merari+ walikuwa Mali na Mushi; kutoka kwa wana wa Yaazia, Beno. 27 Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibri; 28 kutoka kwa Mali, Eleazari, ambaye hakuwa na wana wowote;+ 29 Kishi: kutoka kwa wana wa Kishi, Yerahmeeli; 30 na wana wa Mushi walikuwa Mali, Ederi, na Yerimothi.

Hao ndio waliokuwa wana wa Lawi kulingana na koo zao.* 31 Na pia walipiga kura+ kama walivyofanya ndugu zao wana wa Haruni mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki, na viongozi wa koo* za makuhani na za Walawi. Kuhusiana na koo,* kiongozi alikuwa sawa kabisa na ndugu yake mdogo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki