Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • bi12 uku. 1961
  • 6 Miezi ya Nyakati za Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • 6 Miezi ya Nyakati za Biblia
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
6 Miezi ya Nyakati za Biblia

6 Miezi ya Nyakati za Biblia

Miezi ya Wayahudi ilikuwa inaanza na mwezi mpya mmoja mpaka mwezi mpya mwingine. (Isa 66:23) Neno moja la Kiebrania, choʹdhesh, “mwezi” (Mwa 7:11), linatokana na neno linalomaanisha “mpya,” na neno lingine linalotafsiriwa mwezi, yeʹrach, linamaanisha “mwezi mpevu.”

MIEZI HALI YA HEWA MAZAO

Mitakatifu Ya

Kawaida

1 7 Mvua, theluji zinazoyeyuka, Mavuno ya kitani.

zafurisha Mto Yordani Mwanzo wa mavuno

ya shayiri

2 8 Majira ya kiangazi yaanza. Mavuno ya shayiri.

Kwa kawaida anga Mavuno ya ngano

halina mawingu maeneo ya chini

3 9 Joto la kiangazi. Mavuno ya ngano.

Hewa safi Tini za mapema.

Matofaa fulani

4 10 Joto lazidi. Umande Zabibu za kwanza.

mwingi katika maeneo Mimea na chemchemi

zakauka

5 11 Joto lafikia kilele Mwanzo wa mavuno

ya zabibu

6 12 Joto laendelea Mavuno ya tende na

tini za kiangazi

7 1 Mwisho wa kiangazi. Mwanzo Mwisho wa mavuno.

wa mvua za mapema Mwanzo wa kulima

8 2 Manyunyu ya mvua. Kupandwa ngano na

shayiri. Mavuno ya

zeituni

9 3 Mvua zaongezeka. Baridi Majani yachipuka

kali. Theluji za milimani

10 4 Baridi ya kiwango cha juu. Tambarare za chini

Mvua mvua. Theluji za zina majani mabichi.

milimani Nafaka, maua yaota

11 5 Baridi yapungua. Milozi yachanua.

Mvua zaendelea Mitini yachipua maua

12 6 Mingurumo na mvua za Mikaruba yachanua.

mawe mara kwa mara Mavuno ya matunda

ya jamii ya michungwa

13 Mwezi mmoja uliongezwa mara saba katika muda wa

miaka 19 kwa kawaida ukiwa ni mwezi wa Adari

wa pili (Veadari)

[Mchoro katika ukurasa wa 1961]

(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)

ya 1 NISANI (ABIBU) Machi—APRILI

14 Pasaka

15-21 Keki Zisizo na Chachu

16 Toleo la Matunda ya Kwanza

Shayiri

ya 2 IYARI (ZIVU) Aprili—Mei

14 Pasaka ya Baadaye (Hes 9:10-13)

Ngano

ya 3 SIVANI Mei—Juni

6 Sherehe ya Majuma (Pentekoste)

Tini za Mapema

ya 4 TAMUZI Juni—Julai

Zabibu za Kwanza

ya 5 ABI Julai—Agosti

Matunda ya Kiangazi

ya 6 ELULI Agosti—Septemba

Tende, Zabibu, Tini

ya 7 TISHRI (ETHANIMU) Septemba—Oktoba

1 Mpigo wa Tarumbeta

10 Siku ya Upatanisho

15-21 Sherehe ya Vibanda au ya Kukusanya

22 Kusanyiko Kuu

Kulima

ya 8 HESHVANI (BULI) Oktoba—Novemba

Zeituni

ya 9 KISLEVU Novemba—Desemba

25 Sherehe ya Wakfu

Baridi, Makundi Yafungiwa

ya 10 TEBETHI Desemba—Januari

Mimea Yachipuka

ya 11 SHEBATI Januari—Februari

Milozi Yachanua

ya 12 ADARI Februari—Machi

14, 15 Purimu

Jamii ya Michungwa

ya 13 VEADARI Machi

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki