Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w74 9/15 uku. 414
  • Dawa ya Kale

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Dawa ya Kale
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Habari Zinazolingana
  • “Njoo Nasi Kwenye Mashamba ya Mizabibu ya Hungaria!”
    Amkeni!—1995
  • Kileo Ni Nini Yaliyo Maoni ya Mkristo Juu Yacho?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
  • Je, Ni Kosa Kunywa Kupita Kiasi?
    Amkeni!—2004
  • Je, Ni Vibaya Kunywa Kileo?
    Amkeni!—2006
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
w74 9/15 uku. 414

Dawa ya Kale

Dr. Salvatore P. Lucia anaandika hivi katika kitabu Wine as Food and Medicine: “Matumizi ya divai kama dawa ya maambukizo mabaya yanayohusiana na mapafu yalianza zamani sana. Katika nyakati za kisasa imeonekana kuwa yenye kufaa sana katika kutibu mkamba [ugonjwa wa kifua] . . . na maambukizo mengine yanayohusiana ya mapafu. Divai yenye moto inashauriwa itumiwe wakati wa kupatwa na mafua na maambukizo mengine ya mapafuni. Mara nyingi ukitumia bilauri moja yenye divai wakati wa kulala kutazuia homa ya mafua kwa kuutia mwili jasho.” Na shauri la Biblia:

“Moyo uliochangamka ni dawa nzuri; bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.” “Tumia [divai] kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.”​—Mit. 17:22; 1 Tim. 5:23.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki