“Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya”
Iliyopo juu ni ahadi itokayo kwa Mungu ambayo imechaguliwa iwe kichwa cha broshua yenye kuvuvia tumaini. (Ufunuo 21:5, NW) Ahadi hiyo yamaanisha nini kwetu? Itatimizwa jinsi gani, na wakati gani?
Pata kujua kwa kusoma kichapo hiki cha kurasa 32 kilicho na picha za kupendeza. Kwa Kshs. 18.00 (Tshs. 90.00; RWF 90), utapelekewa broshua hiyo, pamoja na broshua Serikali Itakayoleta Paradiso na Furahia Milele Maisha Duniani!
Tafadhali mnipelekee zile broshua tatu “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” Serikali Itakayoleta Paradiso, na Furahia Milele Maisha Duniani! Mimi nawapelekea nyinyi Kshs. 18.00 (Tshs. 90.00; RWF 90).