Si cha Watoto Tu
Mwanamke mmoja kutoka Fort Worth, Texas, aandika hivi: “Nimekuwa na kitabu Kumsikiliza Mwalimu Mkuu kwa miaka kadhaa. Niliamua kuanza kumsomea mwanangu wa miezi kumi. Kila siku nilisoma sura mbili au tatu. Mimi ninajua kwamba yeye bado ni mchanga mno kuweza kukielewa. Hata hivyo, mimi mwenyewe nimefaidika sana kutokana nacho. Kitabu hicho kiligusa moyo wangu kwa njia ya kipekee na kikaongezea kina cha upendo na uthamini wangu kwa Yehova Mungu na Mwanaye, Yesu Kristo. Mimi ni mwenye umri wa miaka 27. Mimi nilifikiri kuwa kitabu Mwalimu Mkuu ni cha watoto tu, na sasa najuta kwamba sikukichunguza hapo mbeleni.”
Jaza na upeleke kuponi inayoandama, na habari zaidi juu ya kitabu hiki chenye jalada gumu na vielezi, cha kurasa 192 zitapelekwa kwako kwa njia ya posta.
Mimi ningependa kukipokea kitabu chenye kurasa 192 Kumsikiliza Mwalimu Mkuu.