Faharisi ya Buku la 15 la Amkeni!
AFYA NA DAWA
Bei ya Udanganyifu (Kesi ya Damu), 6/8
Hospitali—Wakati Wewe Ni Mgonjwa, 9/8
Kile Mazoezi Yaweza Kukufanyia, 7/8
Kuelewa Pumu, 2/8
Kutopambanua Rangi—Kasoro Yenye Kustaajabisha, 8/8
Kuuza Damu Ni Biashara Kubwa, 7/8
Kuzuru Mgonjwa—Jinsi ya Kusaidia, 9/8
“Singetembea Tena Kamwe,” 3/8
Uikamate Chafya? 1/8
Wakati Kansa Iwekwapo Kuwa Siri, 7/8
DINI
Aibu Iko Wazi kwa Ulimwengu Mzima, 11/8
Hiari, Zawadi ya Ajabu, 6/8
Krismasi, Mwaka Mpya Nyakati za Kale, 8/8
Migawanyiko Katika Kanisa Katoliki, 2/8
Nafsi Hufa? 10/8
Sababu Mungu Aliruhusu Taabu, 6/8
“Tatizo Kubwa la Kingono” Kati ya Makasisi, 8/8
“Waheshimu Baba yako na Mama Yako,” 10/8
Wahukumiwa Kutoka Kinywa Chao, 2/8
MABARA NA WATU
Berlin—Wonyesho wa Jinsi Ulimwengu Ulivyo? 4/8
Filipi—Sehemu ya Mabubujiko, 10/8
Korintho—Jiji la Bahari Mbili, 11/8
Meroë—Fahari Iliyosahauliwa, 2/8
MAHUSIANO YA KIBINADAMU
Kusaidia Watoto wa Talaka, 10/8
Maadili Yanarudi? 1/8
Talaka Huwa na Majeruhi, 10/8
Utunzaji wa Wazee-Wazee, 10/8
Watu wa Jamii ya Rangi Nyingine, 8/8
MAMBO MENGINE
Bahati Nasibu—Kamari ya Ulimwengu, 11/8
“Dawa za Kulevya? Salimiana na Shetani kwa Mkono!” 8/8
Dereva wa Hatari Sana, 2/8
‘Desturi Mbovu ya Kutumia Tumbako,’ 6/8
Jamaa Mwenye Kuwaka (Viberiti), 4/8
Kufanya Maamuzi, 3/8
Kufanya Mengi Zaidi Katika Wakati Mchache Zaidi, 1/8
Kwa Nini Anga Ni Buluu? 4/8
Mbao (Karatasi), 3/8
Mitindo ya Viatu, 8/8
Ongeza Rangi Fulani Kwenye Maisha Yako, 6/8
Siki—Asidi Chungu, 3/8
Sikio—Mwasiliani Mkubwa, 1/8
Televisheni—Sanduku Lililobadili Ulimwengu, 12/8
Tunavyofua Nguo Zetu, 12/8
Ulimwengu wa Kucheza Kamari, 11/8
Unachukia Kupokea Uchambuzi? 11/8
Utofautiano Wenye Tokeo la Kinyumenyume, 9/8
Uwasiliano Kati ya Daktari na Mgonjwa, 9/8
MAMBO NA HALI ZA ULIMWENGU
Fikira Kwenye Serikali, 3/8
Kweli Kweli Tunahitaji Serikali? 3/8
Mazingira Yanayozorota, 1/8
Miaka ya 1990—Mwongo wa Ukosefu wa Uhakika, 3/8
Muhula wa Kutoa Udhuru, 12/8
Ulimwengu Usio na Udhibiti, 12/8
Unaweza Kutegemea Habari? 4/8
Utoshelezo wa Papo Hapo, 12/8
Vijana—Matatizo ya Miaka ya 1990, 5/8
MAONI YA BIBLIA
Dawa za Kulevya kwa Ajili ya Raha, 8/8
Kifo cha Mtoto Kwa Nini Mungu Hukiruhusu? 12/8
Kosa Gani Kuwa na Wake Zaidi ya Mmoja? 11/8
Kujiua—Kuna Ufufuo? 5/8
“Kwa Nini Mungu Alichukua Mtoto Wangu?” 10/8
Malaika, 3/8
Sayansi Imefanya Biblia Ikawa Bure? 4/8
Uhai Huanza Wakati Gani? 6/8
MASHAHIDI WA YEHOVA
Barua ya Shukrani, 3/8
Itikio Kitabu Young People Ask, 5/8
Kuhubiri Katika Lugha Nyingi, 12/8
Kukunjua Moyo ili Kusaidia Wengine (T. Wood), 4/8
Kutoka Jeshi la Hitler Hadi Huduma Katika Hispania, 5/8
Macho Kusaidia Wengine, 8/8
Uamuzi Kuhusu Haki za Wagonjwa, 5/8
“Wana Nguvu Nyingi Ajabu za Kiadili,” 9/8
UCHUMI NA KAZI YA KUAJIRIWA
Deni! Kuingia Humo—Kutoka Humo, 1/8
UTAWALA WA KIBINADAMU WAPIMWA
Chuma na Udongo Wenye Unyevu, 10/8
Hatimaye Serikali Kamilifu! 12/8
Mamlaka Isiyo na Mipaka—Ni Baraka au Laana? 7/8
‘Serikali ya Walio Bora Zaidi,’ 5/8
Shati Nyeusi na Misalaba ya Swastika, 8/8
“Sisi Watu,” 6/8
Utafutaji wa Isiyopatikana, 9/8
Wafalme, Kama Nyota, Huinuka na Kuanguka, 4/8
Wafikia Upeo, 11/8
Wapimwa Katika Mizani, 3/8
VIJANA WANAULIZA
Kubatizwa, 4/8, 6/8
Kujipaka Virembeshi, 8/8, 10/8
Kwa Nini Nahisi Kukosa Sana Usalama? 7/8
Kwa Nini Nijitoe kwa Ajili ya Wengine? 9/8
Mabadiliko ya Mwili, 1/8
Niepuke Mafumbo ya Kiuchawi? 3/8
Nitakuwa wa Kawaida Nikiwa na Mzazi Mmoja Tu? 11/8
Sinema, 12/8
Wazazi Wananitia Aibu, 2/8
WANYAMA NA MIMEA
Binadamu na Mnyama Waweza Kuishi kwa Amani? 9/8
Fisi, 2/8
Kiajabu Chekundu-Cheupe (Heroe), 2/8
Korongo—Ndege “Mwaminifu-Mshikamanifu,” 2/8
Manyoya ya Kupendeza, 7/8
Miti Ambayo Huadhibu Wevi, 12/8
“Mti Uliosimama kwa Kichwa,” 4/8
“Mwendee Chungu,” 1/8
Pimbi-Wadogo, 5/8
Simba Waweza Kufugwa! 9/8
Tandala Mwenye Kuepa, 8/8
Utafiti wa Kutumia Wanyama, 4/8
y