Ukurasa wa Pili
Ile Minyororo na Machozi ya Utumwa 3-8
Utumwa uliathiri maisha za mamilioni ya wanaume, wanawake, na watoto wa Kiafrika. Ni nini kilichowapata? Ni nani alikuwa na lawama?
Samehe na Usahau—Yawezekanaje? 9
Mtu fulani anapofanya kosa zito dhidi yako, je, unaweza kusamehe na usahau? Je, unapaswa kufanya hivyo?
Sababu ya Mwili Wako Kuhitaji Usingizi 17
Usingizi ni muhimu jinsi gani? Ni jambo jipi linaloweza kufanywa ili kuuboresha?