Ukurasa wa Pili
Tumaini kwa Walemavu 3-10
Kila mwaka maelfu ya watu hupatwa na msiba wa kupoteza kiungo. Ni nini baadhi ya mambo yanayoweza kukuhatarisha? Je, inawezekana kwa walemavu kuishi maisha yenye furaha, na yenye kutokeza?
Una Thamani Machoni pa Mungu! 11
Je, wewe hupambana na hisia za kutojistahi wakati wowote? Kujua jinsi Muumba wetu anavyokuona kutakufariji sana.
Kuokolewa Kutoka Kwenye Dhoruba Yenye Kufisha! 14
Soma simulizi lenye kusisimua la jinsi Wakristo walivyosaidia watu waliokumbwa na mojawapo ya dhoruba zenye kuleta maangamizi makubwa zaidi katika karne hii—Kimbunga Mitch.