Yaliyomo
Februari 2010
Je, Talaka Ndiyo Suluhisho?
Wenzi wengi ambao hawana furaha katika ndoa yao hukimbilia talaka. Lakini, je, ni jambo la hekima kufanya hivyo? Talaka husababisha matatizo gani ya kifedha na mengineyo? Jambo la muhimu hata zaidi, mtu anaweza kufanya nini ili kuiokoa ndoa yenye matatizo?
4 Mambo Manne Unayopaswa Kujua Kuhusu Talaka
8 Je, Ndoa Yenu Inaweza Kuokolewa?
11 Amkeni! Liliokoa Uhai wa Mtoto Aliye Tumboni
14 Jua Lilipobadilika na Kuwa Jekundu
16 Mdiria—Ndege Aliye na Rangi Yenye Kupendeza
21 Popo Mdogo Zaidi Ulimwenguni
Nilikuwa Ofisa wa SS Sasa Ninamtumikia Mungu wa Kweli 18
Wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu, lilikuwa jambo lisiloweza kuwaziwa kwa ofisa wa SS kukiuka amri ya moja kwa moja kutoka kwa wasimamizi wake. Hata hivyo, ofisa huyu alifanya hivyo. Soma simulizi hili uone ni kwa nini alifanya hivyo.
Je, Inapatana na Akili Kuamini Kwamba Kuna Mungu? 22
Je, unaamini kwamba kuna Mungu? Acha uthibitisho uliopo ukusaidie kufikia mkataa huo.