Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • my seh. ya 1
  • Uumbaji Mpaka Gharika

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uumbaji Mpaka Gharika
  • Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Mamilioni ya Viumbe wa Roho
    Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je Ziko Kweli?
  • Uasi Katika Makao ya Roho
    Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je Ziko Kweli?
  • Mungu Aanza Kuumba Vitu
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Mtu Hodari
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
Pata Habari Zaidi
Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
my seh. ya 1

SEHEMU YA 1

Uumbaji Mpaka Gharika

Mbingu na dunia zilitoka wapi? Jua, mwezi na nyota, na vitu vingi duniani, vilitokea namna gani? Biblia inatoa jibu la kweli inaposema viliumbwa na Mungu. Basi, kitabu chetu kinaanza na hadithi za Biblia juu ya uumbaji.

Tunajifunza kwamba, watu wa roho ndio walioumbwa kwanza na Mungu, wakawa kidogo kama yeye. Hao ni malaika. Lakini dunia iliumbwa kwa ajili ya watu kama sisi. Halafu Mungu akaumba mwanamume na mwanamke walioitwa Adamu na Hawa, akawaweka katika bustani nzuri. Lakini hawakumtii Mungu, wakaipoteza haki ya kuendelea kuishi.

Jumla ya miaka kutoka kuumbwa Adamu mpaka Gharika kuu, ni 1,656. Wakati huo waliishi watu wengi wabaya. Huko mbinguni, walikuwako watu wa roho wasioonekana, Shetani na malaika zake wabaya. Hapa duniani, walikuwako Kaini (Kaina) na watu wengine wengi wabaya, na watu wakubwa mno. Lakini walikuwako pia watu wazuri duniani—Habili, Henoko na Nuhu. Tutasoma habari za watu hao wote katika Sehemu ya 1 tujue yaliyotendeka.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki