Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Ufunuo Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
KITABU HIKI NI CHA ․․․․․․․․․․․․․․․․
Chapa ya 2006
Kichapo hiki ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari.
Tafsiri za Biblia zilizotumiwa katika kitabu hiki ni New World Translation of the Holy Scriptures (NW) ya Kiingereza chapa ya 1984 na Union Version ya Kiswahili, isipokuwa kama imeonyeshwa vingine.
Sifa za Picha
Picha zimeorodheshwa kwa nambari ya ukurasa na, inapohitajiwa kabisa, kwa ufuatano wa kuonekana kwenye ukurasa (kufuata mwendo wa saa kutoka juu kushoto).
mchoro unategemea foto ya kesi ya 9, paneli A: Ukurasa 59
National Aeronautics and Space Administration, Washington, D.C.: Kurasa 138, 293
Pictorial Archive (Near Eastern History) Est.: Ukurasa 23 (mandhari-nyuma, 1, 4, 10)
Pictorial Archive (Near Eastern History) Est., and Survey of Israel; inategemea ramani iliyohifadhiwa haki: Ukurasa 236
Staatliche Museen zu Berlin; imetumiwa kwa ruhusa yenye fadhili ya: Ukurasa 43 (1, 2, 3)
“Mwenye furaha ni yeye ambaye husoma kwa sauti kubwa na wale ambao husikia maneno ya unabii huu, na ambao hushika vitu vilivyoandikwa katika huo; kwa kuwa wakati uliowekwa u karibu.”—Ufunuo 1:3, NW