Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli
Kwa Wasomaji Wetu
Kuishi milele katika paradiso duniani! Kupitia funzo la Biblia, tunajifunza juu ya tumaini hili zuri. Lakini kujua tumaini hilo pamoja na mafundisho mengine ya msingi ya Neno la Mungu, ni mwanzo tu. Biblia inawahimiza wote wanaompenda Mungu “wafahamu kiakili . . . upana na urefu na kimo na kina” cha kweli zake muhimu sana. (Waefeso 3:18) Kitabu hiki kimechapishwa kwa kusudi hilo. Tunatumaini kwamba kitakusaidia kukua kiroho na kukuwezesha kuendelea kutembea kwenye njia nyembamba inayoongoza kwenye uhai katika ulimwengu mpya wa Mungu wenye uadilifu.
—Wachapishaji
Chapa ya 2006
Kichapo hiki ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari
Isipokuwa imeonyeshwa vingine, manukuu ya Maandiko ya Kiebrania katika kitabu hiki ni kutoka Union Version ya Kiswahili chapa ya 1997, na manukuu ya Maandiko ya Kigiriki ni kutoka Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo. Mahali ambapo herufi NW zinafuata nukuu, zaonyesha kwamba tafsiri inatoka New World Translation of the Holy Scriptures—With References ya Kiingereza
Photo Credits:
▪ Jalada: U.S. Navy photo
▪ Ukurasa wa 180: Watoto: UNITED NATIONS/J. FRANK