Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • snnw wimbo na. 142
  • Kuwahubiria Watu wa Namna Zote

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuwahubiria Watu wa Namna Zote
  • Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Habari Zinazolingana
  • Kuwahubiria Watu wa Namna Zote
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Wafundishe Kusimama Imara
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Jina Lako Ni Yehova
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Kaza Macho Kwenye Zawadi!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
snnw wimbo na. 142

Wimbo Na. 142

Kuwahubiria Watu wa Namna Zote

Makala Iliyochapishwa

(1 Timotheo 2:4)

  1. Tunatamani kumwiga Mungu,

    Kwa kuwa ye hana ubaguzi.

    Awakaribisha watu kwake;

    Kusudi awaokoe wote.

    (KORASI)

    Hatubagui mtu;

    Popote atokapo.

    Ujumbe wa Mungu twapa wote.

    Kwa kuwa twawajali,

    Twawaalika watu wa

    namna zote waje kwa Mungu.

  2. Hatujali wapatikanapo

    Au jinsi waonekanavyo.

    Jambo kuu ni jinsi walivyo​—​

    Moyoni​—​Yule mtu wa ndani.

    (KORASI)

    Hatubagui mtu;

    Popote atokapo.

    Ujumbe wa Mungu twapa wote.

    Kwa kuwa twawajali,

    Twawaalika watu wa

    namna zote waje kwa Mungu.

  3. Yehova akaribisha wote

    Waache njia za ulimwengu.

    Tunataka kuwahubiria,

    Watu wa aina zote waje.

    (KORASI)

    Hatubagui mtu;

    Popote atokapo.

    Ujumbe wa Mungu twapa wote.

    Kwa kuwa twawajali,

    Twawaalika watu wa

    namna zote waje kwa Mungu.

(Ona pia Yoh. 12:32; Mdo. 10:34; 1 Tim. 4:10; Tit. 2:11.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki