Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • snnw wimbo na. 153
  • Wewe Unahisije?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wewe Unahisije?
  • Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Habari Zinazolingana
  • Unahisije?
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Wimbo kwa Aliye Juu Zaidi Sana
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Mhakikishe Mambo Muhimu Zaidi”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
snnw wimbo na. 153

Wimbo Na. 153

Wewe Unahisije?

Makala Iliyochapishwa

(Waebrania 13:15)

  1. We’ unahisije

    kuhubiri kwa bidii,

    kuwafikia watu

    wanaopendezwa?

    Unapofahamu

    umetimiza mgawo;

    Naye Mungu afanye

    kazi kuwavuta.

    (KORASI)

    Twafurahi kutumia

    akili na moyo wote

    Tutatoa dhabihu ya sifa

    siku zote.

  2. We’ unahisije

    wanapoukubali

    ujumbe wetu wa uzima

    wa milele?

    Wasipokubali

    bado twauhubiri

    Tunafurahi kubeba

    jina la Mungu.

    (KORASI)

    Twafurahi kutumia

    akili na moyo wote

    Tutatoa dhabihu ya sifa

    siku zote.

  3. We’ unahisije

    kujua Mungu ndiye

    ametukabidhi kazi

    tunayofanya?

    Tunajivunia

    kazi ya kuhubiri.

    Tutaendelea

    hadi kazi iishe.

    (KORASI)

    Twafurahi kutumia

    akili na moyo wote

    Tutatoa dhabihu ya sifa

    siku zote.

(Ona pia Mdo. 13:48; 1 The. 2:4; 1 Tim. 1:11.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki