Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • jy kur. 2-5
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
  • Vichwa vidogo
  • SEHEMU YA 1​—MATUKIO YANAYOONGOZA KWENYE HUDUMA YA YESU
  • SEHEMU YA 2​—MWANZO WA HUDUMA YA YESU
  • SEHEMU YA 3​—HUDUMA KUU YA YESU HUKO GALILAYA
  • SEHEMU YA 4​—HUDUMA YA YESU YA BAADAYE HUKO YUDEA
  • SEHEMU YA 5​—HUDUMA YA YESU YA BAADAYE UPANDE WA MASHARIKI WA YORDANI
  • SEHEMU YA 6​—HUDUMA YA MWISHO YA YESU
Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
jy kur. 2-5

Yaliyomo

UKURASA SURA

SEHEMU YA 1​—MATUKIO YANAYOONGOZA KWENYE HUDUMA YA YESU

10 1 Wapokea Ujumbe Kutoka kwa Mungu

12 2 Yesu Aheshimiwa Kabla Hajazaliwa

14 3 Yule Atakayetayarisha Njia Azaliwa

16 4 Maria—Ana Mimba Lakini Hajaolewa

18 5 Yesu Alizaliwa Wapi na Wakati Gani? 18

20 6 Mtoto Aliyeahidiwa

22 7 Wanajimu Wamtembelea Yesu

24 8 Wanaokoka Kutoka kwa Mtawala Mwovu

26 9 Maisha ya Utotoni Huko Nazareti

28 10 Familia ya Yesu Yasafiri Kwenda Yerusalemu

30 11 Yohana Mbatizaji Atayarisha Njia

SEHEMU YA 2​—MWANZO WA HUDUMA YA YESU

34 12 Yesu Abatizwa

36 13 Jifunze Kutokana na Jinsi Yesu Alivyokabiliana na Vishawishi

38 14 Yesu Aanza Kufanya Wanafunzi

40 15 Afanya Muujiza Wake wa Kwanza

42 16 Yesu Ana Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli

44 17 Amfundisha Nikodemo Usiku

46 18 Yesu Aongezeka Naye Yohana Apungua

48 19 Amfundisha Mwanamke Msamaria

SEHEMU YA 3​—HUDUMA KUU YA YESU HUKO GALILAYA

54 20 Muujiza wa Pili Huko Kana

56 21 Katika Sinagogi Huko Nazareti

58 22 Wanafunzi Wanne Watakuwa Wavuvi wa Watu

60 23 Yesu Afanya Miujiza Huko Kapernaumu

62 24 Apanua Huduma Yake Huko Galilaya

64 25 Amponya Mtu Mwenye Ukoma kwa Huruma

66 26 “Umesamehewa Dhambi Zako”

68 27 Mathayo Aitwa

70 28 Kwa Nini Wanafunzi wa Yesu Hawafungi?

72 29 Je, Mtu Anaweza Kufanya Mambo Mema Siku ya Sabato?

74 30 Uhusiano Kati ya Yesu na Baba Yake

76 31 Wakata Masuke ya Nafaka Siku ya Sabato

78 32 Ni Mambo Gani Yaliyo Halali Siku ya Sabato?

80 33 Atimiza Unabii wa Isaya

82 34 Yesu Achagua Mitume Kumi na Wawili 82

84 35 Mahubiri Maarufu ya Mlimani

92 36 Imani Kubwa ya Ofisa wa Jeshi

94 37 Yesu Amfufua Mwana wa Mjane

96 38 Yohana Anataka Kusikia Kutoka kwa Yesu 96

98 39 Ole kwa Kizazi Kisichotii

100 40 Somo Kuhusu Msamaha

102 41 Anafanya Miujiza kwa Nguvu za Nani?

104 42 Yesu Awakemea Mafarisayo

106 43 Mifano Kuhusu Ufalme

112 44 Yesu Atuliza Dhoruba Baharini

114 45 Ana Nguvu Kuliko Kikosi cha Roho Waovu

116 46 Aponywa kwa Kugusa Vazi la Yesu

118 47 Msichana Mdogo Afufuliwa!

120 48 Afanya Miujiza, Lakini Akataliwa Hata Huko Nazareti

122 49 Ahubiri Huko Galilaya na Kuwazoeza Mitume

124 50 Tayari Kuhubiri Licha ya Mateso

126 51 Mauaji Kwenye Sherehe ya Sikukuu ya Kuzaliwa

128 52 Alisha Maelfu kwa Mikate na Samaki Wachache

130 53 Mtawala Anayeweza Kudhibiti Nguvu za Asili

132 54 Yesu—“Mkate wa Uzima”

134 55 55 Maneno ya Yesu Yawashtua Wengi

136 56 Ni Nini Hasa Kinachomchafua Mtu?

138 57 Yesu Amponya Msichana na Mwanamume Kiziwi

140 58 Afanya Mikate Iongezeke Kimuujiza na Kuonya Kuhusu Chachu

142 59 Mwana wa Binadamu Ni Nani?

144 60 Kugeuka Sura—Wamwona Kristo Katika Utukufu

146 61 Yesu Amponya Mvulana Mwenye Roho Mwovu

148 62 Somo Muhimu Kuhusu Unyenyekevu

150 63 Yesu Atoa Ushauri Kuhusu Kukwaza na Dhambi

152 64 Umuhimu wa Kusamehe

154 65 Kufundisha Akiwa Safarini Kwenda Yerusalemu

SEHEMU YA 4​—HUDUMA YA YESU YA BAADAYE HUKO YUDEA

158 66 Akiwa Yerusalemu kwa Ajili ya Sherehe ya Vibanda

160 67 ‘Hakuna Mtu Mwingine Ambaye Amewahi Kuzungumza Hivyo’

162 68 Mwana wa Mungu—“Nuru ya Ulimwengu”

164 69 Je, Baba Yao Ni Abrahamu au Ni Ibilisi?

166 70 Yesu Amponya Mtu Aliyezaliwa Kipofu

168 71 Mafarisayo Wamhoji Mtu Aliyekuwa Kipofu

170 72 Yesu Awatuma Wanafunzi 70 Wakahubiri

172 73 Msamaria Athibitika Kuwa Jirani wa Kweli

174 74 Masomo Kuhusu Ukarimu na Sala

176 75 Yesu Afunua Chanzo cha Furaha

178 76 Kula Mlo Pamoja na Farisayo

180 77 Yesu Atoa Ushauri Kuhusu Utajiri

182 78 Uwe Tayari, Msimamizi Mwaminifu!

184 79 Kwa Nini Kutakuwa na Uharibifu Wakati Ujao

186 80 Mchungaji Mwema na Mazizi ya Kondoo

188 81 Yesu na Baba Ni Kitu Kimoja, Lakini Yeye Si Mungu

SEHEMU YA 5​—HUDUMA YA YESU YA BAADAYE UPANDE WA MASHARIKI WA YORDANI

192 82 Huduma ya Yesu Huko Perea

194 83 Kualikwa Kwenye Mlo—Mungu Anawaalika Nani?

196 84 Kuwa Mwanafunzi—Kwa Nini Ni Jambo Zito?

198 85 Kushangilia Mtenda Dhambi Anapotubu

200 86 Mwana Aliyepotea Arudi

204 87 Panga Mapema—Tumia Hekima Inayotumika

206 88 Mabadiliko Katika Hali ya Tajiri na Lazaro

210 89 Afundisha Huko Perea Akiwa Njiani Kwenda Yudea

212 90 “Ufufuo na Uzima”

214 91 Lazaro Afufuliwa

216 92 Watu Kumi Wenye Ukoma Waponywa—Mmoja Ashukuru

218 93 Mwana wa Binadamu Atafunuliwa

220 94 Mambo Mawili Muhimu Sana—Sala na Unyenyekevu

222 95 Afundisha Kuhusu Talaka na Kuwapenda Watoto

224 96 Yesu Amjibu Mtawala Kijana Aliye Tajiri

226 97 Mfano wa Wafanyakazi Katika Shamba la Mizabibu

228 98 Mitume Wabishana Tena Kuhusu Umashuhuri

230 99 Yesu Awaponya Wanaume Vipofu, Kisha Amsaidia Zakayo

232 100 Mfano wa Mina Kumi

SEHEMU YA 6​—HUDUMA YA MWISHO YA YESU

236 101 Mlo Katika Nyumba ya Simoni Huko Bethania

238 102 Mfalme Aingia Yerusalemu Akiwa Juu ya Mwanapunda

240 103 Hekalu Lasafishwa Tena

242 104 Wayahudi Wasikia Sauti ya Mungu—Je, Wataonyesha Imani?

244 105 Atumia Mtini Kufundisha Kuhusu Imani

246 106 Mifano Miwili Kuhusu Mashamba ya Mizabibu

248 107 Mfalme Awaita Wale Walioalikwa Kwenye Karamu ya Ndoa

250 108 Yesu Apangua Njama ya Kumtega

252 109 Awashutumu Wapinzani wa Kidini

254 110 Siku ya Mwisho ya Yesu Hekaluni

256 111 Mitume Waomba Ishara

260 112 Somo Kuhusu Kuwa Macho—Mabikira

262 113 Somo Kuhusu Bidii—Talanta

264 114 Kristo Akiwa na Mamlaka ya Kifalme Awahukumu Kondoo na Mbuzi

266 115 Pasaka ya Mwisho ya Yesu Yakaribia

268 116 Afundisha Kuhusu Unyenyekevu Kwenye Pasaka ya Mwisho

270 117 Mlo wa Jioni wa Bwana

272 118 Wabishana Kuhusu Aliye Mkuu Zaidi

274 119 Yesu—Njia, Kweli, na Uzima

276 120 Kuzaa Matunda Kama Matawi na Kuwa Rafiki za Yesu

278 121 “Jipeni Moyo! Mimi Nimeushinda Ulimwengu”

280 122 Sala ya Mwisho ya Yesu Katika Chumba cha Juu

282 123 Yesu Anasali Akiwa na Huzuni Nyingi

284 124 Kristo Asalitiwa na Kukamatwa

286 125 Yesu Apelekwa kwa Anasi, Kisha kwa Kayafa

288 126 Yesu Akanwa Nyumbani kwa Kayafa

290 127 Kesi Mbele ya Sanhedrini, Kisha Apelekwa kwa Pilato

292 128 Pilato na Herode Wakosa Kumpata na Hatia

294 129 Pilato Asema: “Tazama! Mwanamume!”

296 130 Yesu Akabidhiwa na Kupelekwa Akauawe

298 131 Mfalme Asiye na Hatia Ateseka Kwenye Mti

300 132 “Hakika Mtu Huyu Alikuwa Mwana wa Mungu”

302 133 Mwili wa Yesu Watayarishwa na Kuzikwa

304 134 Kaburi Tupu—Yesu Yuko Hai!

306 135 Yesu Aliyefufuliwa Awatokea Wengi

308 136 Kwenye Ufuo wa Bahari ya Galilaya

310 137 Mamia Wamwona Kabla ya Pentekoste

312 138 Kristo Kwenye Mkono wa Kuume wa Mungu

314 139 Yesu Aleta Paradiso na Kumaliza Mgawo Wake

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki