Fahirisi
Zingatia: Marejeo mengi yaliyo hapa chini yameonyeshwa kwa namba ya sura ikifuatwa na namba ya fungu. Kwa mfano, rejeo la kwanza chini ya “Baraza Linaloongoza” ni “kulitambua: 3:1-6.” Hii inamaanisha kwamba habari zinazohusu kulitambua Baraza Linaloongoza zinapatikana katika Sura ya 3, fungu la 1 hadi la 6.
Baraza Linaloongoza
kulitambua: 3:1-6
kulitumaini: 3:12-15
sababu za kufuata mwongozo wa: 3:9-11; 4:9-11
Dada
ikiwa hakuna ndugu anayestahili: 6:9; 7:23
kujitolea kwa ajili ya ujenzi: 10:21
shule za kitheokrasi: 10:17-18
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo: 7:14-18
Eneo
la kikundi na la kibinafsi: 9:31-34
lenye lugha nyingi: 9:36-38
rekodi: 9:31
Funzo la Mnara wa Mlinzi: 7:11-13
Halmashauri
ya Nchi: 5:53
ya Uendeshaji wa Jumba la Ufalme: 11:8
ya Uhusiano na Hospitali: 5:40
ya Utumishi ya Kutaniko: 5:35
Halmashauri ya Uhusiano na Hospitali na Vikundi vya Kuwatembelea Wagonjwa: 5:40
Halmashauri ya utumishi
(Ona Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko)
Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko: 5:35
Halmashauri za hukumu: 14:21-28, 34-37
Harusi: 11:10-11
Hotuba ya watu wote: 7:5-10
Jumba la Ufalme
maktaba: 7:19
makutaniko kadhaa: 11:8-9
matumizi ya pekee: 11:10-11
ujenzi: 10:21-23; 11:4-5, 15-17
usafi na udumishaji: 11:7-8
wakfu: 11:4
JW.ORG: 9:24-25
Kazi ya kimwili: 13:25-26
Kazi za shuleni: 13:22-24
Kuhubiri habari njema
eneo: 9:30-34
hadharani: 9:11-12
isivyo rasmi: 9:26-29
karne ya kwanza: 8:1-2; 9:1, 4
kusimamiwa na mwangalizi wa utumishi: 5:28
kutumia Tovuti ya jw.org: 9:24-25
kuwatia moyo wanafunzi wa Biblia kutoa ushahidi isivyo rasmi: 8:5
machapisho: 9:22-23
maeneo yenye lugha nyingi: 9:35-44
mahubiri ya vikundi: 9:45-46
mapambo, mwenendo: 13:12
mkutano kwa ajili ya utumishi wa shambani: 7:20-21
msaada wa kibinafsi: 5:28-29, 33; 7:21; 9:7, 15, 19
nyumba kwa nyumba: 9:3-9
utume kutoka kwa Mungu: 8:2
vijana: 8:13-15
wakati wa marufuku: 17:13-18
ziara za kurudia: 9:14-15
Kujitenga na ushirika: 14:30-33
Kujitiisha
(Ona Ukichwa)
Kujitolea kwa ajili ya ujenzi: 10:21-23
Kikundi cha Ujenzi: 10:23
mjitoleaji wa Idara ya Usanifu-Majengo na Ujenzi: 10:23
mjitoleaji wa ujenzi: 10:23
mtumishi wa ujenzi: 10:23
mtumishi wa ujenzi kutoka nchi nyingine: 10:23
Kurudishwa: 14:34-36
Kusanyiko la mzunguko
gharama: 12:8-11
mahali: 11:18
tengenezo: 5:49
Kutaniko
(Ona pia Jumba la Ufalme; Mikutano)
jipya na dogo: 7:22-23
umoja: 13:28-30
yamepangwa kitheokrasi: 1:3; 4:4-11
Kutenga na ushirika: 14:25-29
Kutoelewana
makosa mazito: 14:13-20
tofauti ndogo-ndogo: 14:5-6
Kutumikia mahali penye uhitaji: 10:6-9
Kuwatia alama watu wasiofuata utaratibu: 14:9-12
Machapisho
kulipia gharama: 12:2-4
kutunza machapisho: 12:16
kuyatumia katika utumishi wa shambani: 9:22-23
maeneo yenye lugha nyingi: 9:35-37
Maeneo ya lugha ya kigeni: 9:35-44
madarasa ya lugha: 10:10
mwenye nyumba anayezungumza lugha nyingine: 9:38-41
vikundi na vikundi vidogo: 9:43-45
Mafunzo ya Biblia
kutoa ripoti: 8:26
kuwaelekeza wanafunzi kwenye tengenezo: 9:20-21
kuwatia moyo wanafunzi kutoa ushahidi isivyo rasmi: 8:5
umuhimu: 9:16-17
Majaribu, mateso: 13:4-5; 17:4-19
Majumba ya Kusanyiko: 11:18-21
Makusanyiko
(Ona Kusanyiko la mzunguko)
Makusanyiko ya eneo: 7:25-27
Malengo
kazi ya mzunguko: 10:16
kazi ya ujenzi: 10:21-23
kujifunza lugha nyingine: 10:10
kutimiza: 8:37
kutumikia mahali penye uhitaji: 10:6-9
shule za kitheokrasi: 10:17-18
umuhimu wa: 10:24-26
Utumishi wa Betheli: 10:19-20
utumishi wa painia: 10:11-14
wahubiri: 10:4-5
wamishonari: 10:15
Mapainia: 10:11-14
Mapainia wa pekee: 10:11, 14, 17-18
Mapainia wasaidizi: 10:11-12
Mashirika: 4:12
Maskini: 12:12-15
Matangazo
kujitenga: 14:33
kukaripiwa: 14:24
kurudishwa: 14:36
kutenga na ushirika: 14:29
michango: 12:6
wahubiri ambao hawajabatizwa: 8:12; 14:39-40
Mavazi na mapambo
huduma: 13:12
kutembelea Betheli: 13:13
tafrija na burudani: 13:14
walio na mapendeleo: 6:9
watumishi wa huduma: 6:5
Maziko: 11:10-11
Mhudumu aliyewekwa rasmi: 8:3
Michango: 3:13; 11:6-7, 15; 12:2-11
Mikutano
Funzo la Biblia la Kutaniko: 7:17
Funzo la Mnara wa Mlinzi: 7:11-13
hotuba ya watu wote: 7:5-10
Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo: 7:14-19
ikiwa dada ataongoza: 7:23
kuendeleza shughuli za biashara: 13:27
kunapokuwa na marufuku: 17:15-17
kusudi: 7:1-2
kwa ajili ya utumishi wa shambani: 7:20-21; 9:45
mahali pa kukutanikia: 11:1-5, 18-19
makusanyiko ya mzunguko: 7:24
makusanyiko: 7:25-26
Waisraeli: 11:1
wakaribishaji: 11:14
wakati wa ziara ya mwangalizi wa mzunguko: 5:43, 47
watoto wanapohudhuria: 11:13
wazee: 5:37
Mlo wa Jioni wa Bwana: 7:28-30
Mratibu wa baraza la wazee
Mkutano wa Huduma na Maisha: 7:18
ukaguzi wa hesabu: 12:7
wajibu wake kwa ujumla: 5:26
wanaotaka kubatizwa: 8:18; uku. 208-212
ziara ya mwangalizi wa mzunguko: 5:42-44
Mfano mzuri
maana: 6:9
Msaada wakati wa majanga: 12:15; 16:11
“Mtumwa mwaminifu na mwenye busara”
kujitiisha: 15:7
kumtambua: 3:4-6
kumtumaini: 3:12-15
Mwangalizi wa mzunguko
kufikiria kupanua huduma yako: 10:6, 10, 16, 20
vikundi: 9:45
kupendekeza makutaniko mapya: 7:22
ukarimu kwa ajili ya: 5:50
ziara: 5:41-48
Mwangalizi wa utumishi: 5:28, 32; 9:31, 37, 45
Ofisi ya tawi
kunapokuwa hakuna mawasiliano: 17:15-17
majukumu: 4:13
mavazi na mapambo tunapotembelea: 13:13
michango kwa ajili ya: 12:2-4
Rekodi ya Kutaniko ya Mhubiri: 5:44; 8:10, 30
Ripoti
unapokuwa mbali na nyumbani: 8:30
waangalizi wa mzunguko: 5:46, 50; 9:44
Tafrija na burudani: 13:15-21
Tengenezo
sehemu ya kimbingu: 1:8-13
Ubatizo
maana ya: 8:16-18
maswali ya pitio: uku. 185-207
mhudumu aliyewekwa rasmi: 8:3
wahubiri ambao hawajabatizwa: uku. 182-184
watoto: ku. 179-181
Ukichwa
familia: 15:9-10
mamlaka zilizo kubwa: 15:11
Tengenezo la Yehova: 1:9-10; 2:5, 9-10; 15:1-2
Ukosaji
(Ona pia Kujitenga; Kutenga na ushirika; Kuwatia alama wasiofuata utaratibu; Kutoelewana; Kurudishwa)
dhidi ya Mkristo mwenzake: 14:5-6, 13-20
makosa mazito: 14:21-33
matangazo yanayohusu: 14:24, 29, 33, 39-40
wahubiri ambao hawajabatizwa: 14:38-40
watoto: 14:37
Ukumbusho: 7:28-30
Umoja
chini ya ukichwa wa Kristo: 2:9-11; 4:10-11
kuudumisha: 17:20
matatizo yanapotokea: 14:3; 17:6
ulimwenguni pote: 16:6-11
Usafi
Jumba la Ufalme: 11:7-8
kiadili, kiroho: 13:6-7
kimwili: 13:8-12
Utegemezo wa kifedha
mzunguko: 12:8-11
ulimwenguni pote: 11:15; 12:2-4
Utumishi wa Betheli: 10:19-20
Vikundi vya utumishi wa shambani
kuwapa migawo: 5:35
mikutano kwa ajili ya utumishi wa shambani: 7:20-21
usafi wa Jumba la Ufalme: 11:7
waangalizi: 5:29-34
wajibu wa watumishi wa huduma: 6:12
Waangalizi
(Ona Wazee)
Wahubiri ambao hawajabatizwa
Jumba la Ufalme linapojengwa au kukarabatiwa: 11:17
kustahili: 8:6-12
wanapofanya kosa: 14:38-40
watoto: 8:13-15
Wahubiri
(Ona Wahubiri wa kutaniko; Wahubiri ambao hawajabatizwa)
Wahubiri wa kutaniko
(Ona pia Wahubiri ambao hawajabatizwa)
kuhama: 8:30
mpya: 8:5-6
msaada wa kibinafsi: 5:28-29, 33; 7:21; 9:7, 15, 19
sifa za kustahili: 8:8
vijana: 8:13-14
wagonjwa: 8:29
Wakaribishaji: 11:14
Wakfu na ubatizo
(Ona Ubatizo)
Wakristo wasiotenda: 8:26; 14:32
Watoto
kazi za shuleni: 13:22-24
kuwatunza wazazi wagonjwa au babu na bibi (nyanya): 12:14
maendeleo ya kiroho: 8:13-15; 10:26; uku. 179-181
ndugu vijana wanaojitahidi kufanya maendeleo: 6:14
wakosaji: 14:37
Watumishi wa huduma
kujitahidi kufikia: 6:14
sifa za kustahili: 6:3-6
Wawakilishi wa makao makuu: 5:55-56
Wazee
huwekwa rasmi kitheokrasi: 4:8
kudumisha umoja kati yao: 5:21
kudumisha usafi wa kutaniko: 14:19-40
kujitahidi kuwa mwangalizi: 5:22
majukumu mbalimbali: 5:25-36, 40
mikutano: 5:37
sifa za kustahili: 5:4-20
umri mkubwa au ugonjwa: 5:23-24
vikundi na vikundi vidogo: 9:42-44
Yehova Mungu
kumkaribia: 17:1-3
Mwenye Enzi Kuu: 15:1-4
Yesu Kristo
Kichwa cha kutaniko: 1:10; 2:5
Kuhani Mkuu: 2:4
kujitiisha kwa Yehova: 15:5
Mkombozi: 2:3