Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • od kur. 213-222
  • Fahirisi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi
  • Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova
Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova
od kur. 213-222

Fahirisi

Zingatia: Marejeo mengi yaliyo hapa chini yameonyeshwa kwa namba ya sura ikifuatwa na namba ya fungu. Kwa mfano, rejeo la kwanza chini ya “Baraza Linaloongoza” ni “kulitambua: 3:1-6.” Hii inamaanisha kwamba habari zinazohusu kulitambua Baraza Linaloongoza zinapatikana katika Sura ya 3, fungu la 1 hadi la 6.

Baraza Linaloongoza

kulitambua: 3:1-6

kulitumaini: 3:12-15

sababu za kufuata mwongozo wa: 3:9-11; 4:9-11

Dada

ikiwa hakuna ndugu anayestahili: 6:9; 7:23

kujitolea kwa ajili ya ujenzi: 10:21

shule za kitheokrasi: 10:17-18

Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo: 7:14-18

Eneo

la kikundi na la kibinafsi: 9:31-34

lenye lugha nyingi: 9:36-38

rekodi: 9:31

Funzo la Mnara wa Mlinzi: 7:11-13

Halmashauri

ya Hukumu: 14:21-28, 34-37

ya Nchi: 5:53

ya Tawi: 4:13; 5:51-54

ya Uendeshaji wa Jumba la Ufalme: 11:8

ya Uhusiano na Hospitali: 5:40

ya Utumishi ya Kutaniko: 5:35

Halmashauri ya Uhusiano na Hospitali na Vikundi vya Kuwatembelea Wagonjwa: 5:40

Halmashauri ya utumishi

(Ona Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko)

Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko: 5:35

Halmashauri za hukumu: 14:21-28, 34-37

Harusi: 11:10-11

Hotuba ya watu wote: 7:5-10

Jumba la Ufalme

gharama: 11:6; 12:5-6

maktaba: 7:19

makutaniko kadhaa: 11:8-9

matumizi ya pekee: 11:10-11

ujenzi: 10:21-23; 11:4-5, 15-17

usafi na udumishaji: 11:7-8

wakfu: 11:4

JW.ORG: 9:24-25

Karipio: 14:4, 23-24

Kazi ya kimwili: 13:25-26

Kazi za shuleni: 13:22-24

Kuhubiri habari njema

eneo: 9:30-34

hadharani: 9:11-12

isivyo rasmi: 9:26-29

karne ya kwanza: 8:1-2; 9:1, 4

kuongoza: 5:3, 17, 29-33; 6:4

kuripoti: 8:19-29, 31-36

kusimamiwa na mwangalizi wa utumishi: 5:28

kustahili: 8:6-9, 13-15

kutumia Tovuti ya jw.org: 9:24-25

kuwatia moyo wanafunzi wa Biblia kutoa ushahidi isivyo rasmi: 8:5

machapisho: 9:22-23

maeneo yenye lugha nyingi: 9:35-44

mahubiri ya vikundi: 9:45-46

mapambo, mwenendo: 13:12

mkutano kwa ajili ya utumishi wa shambani: 7:20-21

msaada wa kibinafsi: 5:28-29, 33; 7:21; 9:7, 15, 19

nyumba kwa nyumba: 9:3-9

umuhimu: 9:5-8; 10:1-2

utume kutoka kwa Mungu: 8:2

vijana: 8:13-15

wakati wa marufuku: 17:13-18

ziara za kurudia: 9:14-15

Kujitenga na ushirika: 14:30-33

Kujitiisha

(Ona Ukichwa)

Kujitolea kwa ajili ya ujenzi: 10:21-23

Kikundi cha Ujenzi: 10:23

mjitoleaji wa Idara ya Usanifu-Majengo na Ujenzi: 10:23

mjitoleaji wa ujenzi: 10:23

mtumishi wa ujenzi: 10:23

mtumishi wa ujenzi kutoka nchi nyingine: 10:23

Kurudishwa: 14:34-36

Kusanyiko la mzunguko

gharama: 12:8-11

mahali: 11:18

tengenezo: 5:49

Kutaniko

(Ona pia Jumba la Ufalme; Mikutano)

jipya na dogo: 7:22-23

umoja: 13:28-30

yamepangwa kitheokrasi: 1:3; 4:4-11

Kutenga na ushirika: 14:25-29

Kutoelewana

makosa mazito: 14:13-20

tofauti ndogo-ndogo: 14:5-6

Kutumikia mahali penye uhitaji: 10:6-9

Kuwatia alama watu wasiofuata utaratibu: 14:9-12

Maazimio: 12:6, 9, 11

Machapisho

kulipia gharama: 12:2-4

kutunza machapisho: 12:16

kuyatumia katika utumishi wa shambani: 9:22-23

maeneo yenye lugha nyingi: 9:35-37

Maeneo ya lugha ya kigeni: 9:35-44

madarasa ya lugha: 10:10

mwenye nyumba anayezungumza lugha nyingine: 9:38-41

vikundi na vikundi vidogo: 9:43-45

Mafunzo ya Biblia

kutoa ripoti: 8:26

kuwaelekeza wanafunzi kwenye tengenezo: 9:20-21

kuwatia moyo wanafunzi kutoa ushahidi isivyo rasmi: 8:5

umuhimu: 9:16-17

Majaribu, mateso: 13:4-5; 17:4-19

Majumba ya Kusanyiko: 11:18-21

Makusanyiko

(Ona Kusanyiko la mzunguko)

Makusanyiko ya eneo: 7:25-27

Malengo

kazi ya mzunguko: 10:16

kazi ya ujenzi: 10:21-23

kujifunza lugha nyingine: 10:10

kutimiza: 8:37

kutumikia mahali penye uhitaji: 10:6-9

shule za kitheokrasi: 10:17-18

umuhimu wa: 10:24-26

Utumishi wa Betheli: 10:19-20

utumishi wa painia: 10:11-14

wahubiri: 10:4-5

wamishonari: 10:15

Mapainia: 10:11-14

Mapainia wa pekee: 10:11, 14, 17-18

Mapainia wasaidizi: 10:11-12

Mashirika: 4:12

Maskini: 12:12-15

Matangazo

kujitenga: 14:33

kukaripiwa: 14:24

kurudishwa: 14:36

kutenga na ushirika: 14:29

michango: 12:6

wahubiri ambao hawajabatizwa: 8:12; 14:39-40

Mavazi na mapambo

huduma: 13:12

kutembelea Betheli: 13:13

mikutano: 11:12, 21

tafrija na burudani: 13:14

walio na mapendeleo: 6:9

watumishi wa huduma: 6:5

Maziko: 11:10-11

Mhudumu aliyewekwa rasmi: 8:3

Michango: 3:13; 11:6-7, 15; 12:2-11

Mikutano

Funzo la Biblia la Kutaniko: 7:17

Funzo la Mnara wa Mlinzi: 7:11-13

hotuba ya watu wote: 7:5-10

Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo: 7:14-19

ikiwa dada ataongoza: 7:23

karne ya kwanza: 7:3; 11:2

kuendeleza shughuli za biashara: 13:27

kunapokuwa na marufuku: 17:15-17

kusudi: 7:1-2

kwa ajili ya utumishi wa shambani: 7:20-21; 9:45

mahali pa kukutanikia: 11:1-5, 18-19

makusanyiko ya mzunguko: 7:24

makusanyiko: 7:25-26

umuhimu: 3:12; 7:4, 27; 15:7

Waisraeli: 11:1

wakaribishaji: 11:14

wakati wa ziara ya mwangalizi wa mzunguko: 5:43, 47

watoto wanapohudhuria: 11:13

wazee: 5:37

Mlo wa Jioni wa Bwana: 7:28-30

Mratibu wa baraza la wazee

Mkutano wa Huduma na Maisha: 7:18

ukaguzi wa hesabu: 12:7

wahubiri wapya: 8:8, 14

wajibu wake kwa ujumla: 5:26

wanaotaka kubatizwa: 8:18; uku. 208-212

ziara ya mwangalizi wa mzunguko: 5:42-44

Mfano mzuri

maana: 6:9

Msaada wakati wa majanga: 12:15; 16:11

“Mtumwa mwaminifu na mwenye busara”

kujitiisha: 15:7

kumtambua: 3:4-6

kumtumaini: 3:12-15

Mwandishi: 5:27; 8:30

Mwangalizi wa mzunguko

kufikiria kupanua huduma yako: 10:6, 10, 16, 20

vikundi: 9:45

kupendekeza makutaniko mapya: 7:22

ukarimu kwa ajili ya: 5:50

ziara: 5:41-48

Mwangalizi wa utumishi: 5:28, 32; 9:31, 37, 45

Ofisi ya tawi

kunapokuwa hakuna mawasiliano: 17:15-17

majukumu: 4:13

mavazi na mapambo tunapotembelea: 13:13

michango kwa ajili ya: 12:2-4

Rekodi ya Kutaniko ya Mhubiri: 5:44; 8:10, 30

Ripoti

umuhimu: 8:19-22, 31-36

unapokuwa mbali na nyumbani: 8:30

waangalizi wa mzunguko: 5:46, 50; 9:44

wahubiri: 5:34; 8:10, 23-29

Tafrija na burudani: 13:15-21

Tengenezo

sehemu ya kimbingu: 1:8-13

Ubatizo

maana ya: 8:16-18

makusanyikoni: 7:24, 26

maswali ya pitio: uku. 185-207

mhudumu aliyewekwa rasmi: 8:3

wahubiri ambao hawajabatizwa: uku. 182-184

watoto: ku. 179-181

Ukichwa

familia: 15:9-10

kutaniko: 3:14; 4:15; 15:7

mamlaka zilizo kubwa: 15:11

Tengenezo la Yehova: 1:9-10; 2:5, 9-10; 15:1-2

Ukosaji

(Ona pia Kujitenga; Kutenga na ushirika; Kuwatia alama wasiofuata utaratibu; Kutoelewana; Kurudishwa)

dhidi ya Mkristo mwenzake: 14:5-6, 13-20

makosa mazito: 14:21-33

matangazo yanayohusu: 14:24, 29, 33, 39-40

wahubiri ambao hawajabatizwa: 14:38-40

watoto: 14:37

Ukumbusho: 7:28-30

Umishonari: 10:15, 18

Umoja

baraka: 4:15; 5:57; 13:30-31

chini ya ukichwa wa Kristo: 2:9-11; 4:10-11

kuudumisha: 17:20

matatizo yanapotokea: 14:3; 17:6

msingi wa: 1:6-7; 13:28-29

ulimwenguni pote: 16:6-11

wazee: 5:13, 21

Usafi

Jumba la Ufalme: 11:7-8

kiadili, kiroho: 13:6-7

kimwili: 13:8-12

Utegemezo wa kifedha

kutaniko: 11:6-7; 12:5-7

mzunguko: 12:8-11

ulimwenguni pote: 11:15; 12:2-4

Utumishi wa Betheli: 10:19-20

Vikundi vya utumishi wa shambani

kuwapa migawo: 5:35

maeneo: 9:31, 33

mikutano kwa ajili ya utumishi wa shambani: 7:20-21

usafi wa Jumba la Ufalme: 11:7

waangalizi: 5:29-34

wajibu wa watumishi wa huduma: 6:12

Waangalizi

(Ona Wazee)

Wahubiri ambao hawajabatizwa

Jumba la Ufalme linapojengwa au kukarabatiwa: 11:17

kustahili: 8:6-12

wanapofanya kosa: 14:38-40

watoto: 8:13-15

Wahubiri

(Ona Wahubiri wa kutaniko; Wahubiri ambao hawajabatizwa)

Wahubiri wa kutaniko

(Ona pia Wahubiri ambao hawajabatizwa)

kuhama: 8:30

mpya: 8:5-6

msaada wa kibinafsi: 5:28-29, 33; 7:21; 9:7, 15, 19

sifa za kustahili: 8:8

vijana: 8:13-14

wagonjwa: 8:29

Wakaribishaji: 11:14

Wakfu na ubatizo

(Ona Ubatizo)

Wakristo wasiotenda: 8:26; 14:32

Watoto

kazi za shuleni: 13:22-24

kuwatunza wazazi wagonjwa au babu na bibi (nyanya): 12:14

maendeleo ya kiroho: 8:13-15; 10:26; uku. 179-181

mikutano: 7:2; 11:13-14

ndugu vijana wanaojitahidi kufanya maendeleo: 6:14

wakosaji: 14:37

Watumishi wa huduma

kujitahidi kufikia: 6:14

kuwathamini: 6:1-2, 15

majukumu: 6:7-12; 11:14

sifa za kustahili: 6:3-6

Wawakilishi wa makao makuu: 5:55-56

Wazee

huwekwa rasmi kitheokrasi: 4:8

kudumisha umoja kati yao: 5:21

kudumisha usafi wa kutaniko: 14:19-40

kujitahidi kuwa mwangalizi: 5:22

majukumu mbalimbali: 5:25-36, 40

mikutano: 5:37

mtazamo: 3:14; 5:38-39

sifa za kustahili: 5:4-20

umri mkubwa au ugonjwa: 5:23-24

vikundi na vikundi vidogo: 9:42-44

wachungaji: 5:1-3; 14:7-12

Yehova Mungu

kumkaribia: 17:1-3

Mwenye Enzi Kuu: 15:1-4

Yesu Kristo

Kichwa cha kutaniko: 1:10; 2:5

Kuhani Mkuu: 2:4

kujitiisha kwa Yehova: 15:5

Mchungaji Mwema: 2:6; 5:1

Mhudumu: 8:1-2; 9:1

Mkombozi: 2:3

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki