Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb kur. 218-219
  • Utangulizi wa Sehemu ya 14

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 14
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Ufunuo kwa Yohana
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Mwige Yesu—Hubiri Kwa Ujasiri
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Serikali ltakayoleta Amani Duniani Pote
    Furaha​—Namna ya Kuipata
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Mungu Anataka Tufanye Nini?
Pata Habari Zaidi
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb kur. 218-219
Mtume Paulo na Timotheo wakiwa kwenye meli

Utangulizi wa Sehemu ya 14

Wakristo wa mapema walieneza habari njema ya Ufalme mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia. Yesu aliwaelekeza mahali pa kuhubiri na akawawezesha kimuujiza kuwafundisha watu katika lugha zao wenyewe. Yehova aliwapa ujasiri na nguvu za kukabiliana na mateso makali.

Yesu alimpa mtume Yohana maono ya utukufu wa Yehova. Katika maono mengine, Yohana aliona Ufalme wa mbinguni ukimshinda Shetani na kukomesha utawala wake milele. Yohana alimwona Yesu akitawala akiwa Mfalme pamoja na watawala wenzake 144,000. Pia, Yohana aliona dunia yote ikigeuzwa kuwa paradiso ambapo watu wote wanamwabudu Yehova kwa amani na umoja.

MAMBO MAKUU

  • Kufanya kazi ambayo Yehova ametupatia humletea utukufu

  • Jiweke wakfu kwa Yehova, na umwonyeshe kwamba unataka kutawaliwa na Ufalme wake

  • Mfanye Yehova awe Rafiki yako wa karibu zaidi

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki