Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 134
  • Watoto–Amana Kutoka kwa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Watoto–Amana Kutoka kwa Mungu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Watoto—Amana Kutoka kwa Mungu
    Mwimbieni Yehova
  • Unaweza Kuwatumaini Ndugu Zako
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • Kuwatumaini Wengine Ni Muhimu kwa Maisha Yenye Furaha
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Wachungaji​—⁠Zawadi Katika Wanadamu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 134

WIMBO NA. 134

Watoto—Amana Kutoka kwa Mungu

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 127:3-5)

  1. 1. Baba apatapo mwana

    Na mama anapopata mwana,

    Amana kubwa wamepata,

    Si yao tu, peke yao.

    Ni zawadi toka kwa Mungu.

    Yeye ndiye chanzo cha uhai.

    Anawaagiza wazazi,

    Wapate kuwa na hekima.

    (KORASI)

    Mmepata amana kubwa,

    Ni urithi toka Kwake.

    Basi ninyi, wafundisheni,

    Maagizo ya Yehova.

  2. 2. Sheria zote za Mungu—

    Ziwe katika mioyo yenu.

    Wafunzeni wana na binti;

    Hiyo ndiyo kazi yenu.

    Wafundishe barabarani,

    Ulalapo na uamkapo.

    Wazikumbuke sikuzote,

    Uaminifu wadumishe.

    (KORASI)

    Mmepata amana kubwa,

    Ni urithi toka Kwake.

    Basi ninyi, wafundisheni,

    Maagizo ya Yehova.

Ona pia Kum. 6:​6, 7; Efe. 6:4; 1 Tim. 4:16..)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki