Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 103
  • Wachungaji​—⁠Zawadi Katika Wanadamu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wachungaji​—⁠Zawadi Katika Wanadamu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Wachungaji—Zawadi Katika Wanadamu
    Mwimbieni Yehova
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Fanya Kweli Iwe Njia Yako ya Maisha
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Fanya Kweli Iwe Njia Yako ya Maisha
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 103

WIMBO NA. 103

Wachungaji​—Zawadi Katika Wanadamu

Makala Iliyochapishwa

(Waefeso 4:8)

  1. 1. Mungu ametuandalia,

    Wachungaji wake.

    Wanatuwekea mfano,

    Jinsi ya kwenenda.

    (KORASI)

    Mungu atupa wanaume,

    Wanaotegemeka.

    Wanahangaikia kundi;

    Waungeni mkono.

  2. 2. Wachungaji watupendao;

    Wanatuongoza.

    Maneno yao hufariji,

    Tunapoumia.

    (KORASI)

    Mungu atupa wanaume,

    Wanaotegemeka.

    Wanahangaikia kundi;

    Waungeni mkono.

  3. 3. Watumia Neno la Mungu,

    Tusikengeushwe.

    Tupate kuishi Kikristo,

    Tupendeze Mungu.

    (KORASI)

    Mungu atupa wanaume,

    Wanaotegemeka.

    Wanahangaikia kundi;

    Waungeni mkono.

(Ona pia Isa. 32:​1, 2; Yer. 3:15; Yoh. 21:​15-17; Mdo. 20:28.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki