Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 45-46
  • Kutengwa na Ushirika

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutengwa na Ushirika
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 45-46

Kutengwa na Ushirika

Kwa nini wazee Wakristo wanapaswa kuwa macho kuhusu kudumisha usafi wa kutaniko?

2Ti 2:​16, 17; 2Pe 2:​1, 2; Yud 3, 4

Mwenendo wa Mkristo mmoja unawezaje kuathiri kutaniko zima?

1Ko 5:​1, 2, 5, 6

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Yos 7:​1, 4-14, 20-26—Dhambi ya Akani, ambayo bila shaka familia yake inajua, inasababisha madhara makubwa kwa taifa zima

    • Yon 1:​1-16—Uasi wa nabii Yona unahatarisha uhai wa mabaharia waliosafiri pamoja naye katika meli

Ni mwenendo gani ambao hauwezi kuvumiliwa katika kutaniko la Kikristo?

Ro 16:​17, 18; 1Ko 5:11; 1Ti 1:20; Tit 3:​10, 11

Tazama pia “Mwenendo wa Wakristo”

Mkristo anayeendelea kufanya dhambi nzito, ni lazima ashughulikiwe jinsi gani?

1Ko 5:​11-13

Tazama pia 1Yo 3:​4, 6

Ni taarifa gani ambazo wachungaji waliowekwa rasmi wanapaswa kutafuta kabla ya kufanya maamuzi katika kikao cha hukumu?

Kum 13:​12-14; 17:​2-4, 7

Tazama pia Met 18:13; 1Ti 5:21

Wazee watakaokuwa kwenye halmashauri ya hukumu wanawezaje kuthibitisha kwamba dhambi nzito imefanywa?

Mt 18:16; 2Ko 13:1; 1Ti 5:19

Kwa nini ni lazima baadhi ya watu watengwe na ushirika au kukaripiwa, na hilo linawezaje kulinufaisha kutaniko?

1Ko 5:​3-6; 1Ti 5:20

Biblia inasema nini kuhusu jinsi tunavyopaswa kuwatendea wale waliotengwa na ushirika?

Ro 16:17; 1Ko 5:​11, 13; 2Yo 9-11

Ikiwa mtu aliyetengwa na ushirika anatubu, ni nini kinachoweza kutokea?

2Ko 2:​6, 7

Tazama pia “Toba”

Sisi sote tunawezaje kudumisha usafi wa kutaniko?

Law 5:1; Ebr 12:​15, 16

Tazama pia Kum 13:​6-11

Kwa nini ingekuwa kosa kwa Mkristo aliyefanya dhambi nzito kuificha, labda kwa sababu anaogopa atatengwa na ushirika?

Zb 32:​1-5; Met 28:13; Yak 5:​14, 15

Tazama pia “Dhambi—Kuungama Dhambi”

Kwa nini huenda likawa jambo la hekima katika baadhi ya visa kuacha kushirikiana kwa ukaribu na mtu ambaye hajatengwa na ushirika?

1Ko 15:33; 2Th 3:14

Ikiwa Mkristo amechongewa au kulaghaiwa, huenda akaamua kufanya nini, na kwa nini?

Mt 18:​15-17, 21, 22; Kol 3:​12-14; 1Pe 4:8

Kwa nini Wakristo wakomavu wanapaswa kutoa shauri kwa wale ambao wanatenda bila hekima?

Gal 6:1; Tit 2:​3-5

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki