Pupa
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Hes 11:4, 5, 31-33—Waisraeli wanaokota kware kwa pupa na kuadhibiwa kwa sababu ya dhambi yao
2Fa 5:20-27—Kwa sababu ya pupa, Gehazi anadanganya na kumwakilisha vibaya nabii wa Yehova, na Yehova anamwadhibu kwa kufanya hivyo