Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 77-79
  • Rehema

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Rehema
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 77-79

Rehema

Kuonyesha rehema kunatia ndani nini?

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Zb 51:​1, 2—Mfalme Daudi anapomwomba Yehova rehema, anaomba dhambi zake zisamehewe na kusafishwa

    • Lu 10:​29-37—Yesu anafundisha somo kuhusu rehema kwa kutumia mfano wa Msamaria aliyemwonyesha fadhili na ufikirio Myahudi

Kwa nini wanadamu wote wanahitaji kuonyeshwa rehema?

Zb 130:3; Mhu 7:20; 1Yo 1:8

Tazama pia 1Fa 8:​46-50

Yehova ametuwekea mfano gani inapohusu kuonyesha rehema?

Kut 34:6; Ne 9:17; Zb 103:8; 2Ko 1:3

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ayu 42:​1, 2, 6-10; Yak 5:11—Yehova anamwonyesha rehema Ayubu na anamfundisha kuonyesha rehema pia

    • Lu 15:​11-32—Yesu anafundisha kuhusu rehema ya Yehova kwa kutumia mfano wa jinsi baba anavyomtendea mwana wake mwasi anayetubu

Kwa nini Yehova anatuonyesha rehema?

Ro 5:8; 1Yo 4:​9, 10

Tazama pia Tit 3:​4, 5

Dhabihu ya Kristo inatusaidiaje kupata msamaha wa dhambi?

Lu 24:47; Mdo 10:43; 1Yo 1:​7, 9

Kwa nini tunapaswa kuomba tuonyeshwe rehema na kwa nini sikuzote tunapaswa kushukuru kwa zawadi hiyo?

Lu 11:​2-4; Ebr 4:16

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Zb 51:​1-4—Mfalme Daudi analemewa na hisia za hatia kwa sababu ya dhambi zake, kwa unyenyekevu anamwomba Yehova amwonyeshe rehema

    • Lu 18:​9-14—Yesu anatumia mfano kukazia kwamba Yehova anawaonyesha rehema wale ambao kwa unyenyekevu wanakubali makosa yao

Kwa nini hata wale waliofanya dhambi nzito wanaweza kutumaini kuonyeshwa rehema?

Kum 4:​29-31; Isa 55:7

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 2Nya 33:​9-13, 15—Ingawa Manase, ni mfalme mwovu sana, anatubu na kuomba kuonyeshwa rehema; anarudishiwa ufalme wake, na anaendelea kuonyesha kwa matendo yake kwamba kwa kweli amebadilika

    • Yon 3:​4-10—Ingawa Waninawi ni wakatili sana na wauaji, wanatubu dhambi zao na kuonyeshwa rehema na Mungu

Kwa nini ni muhimu kuungama dhambi zetu kwa Yehova na kubadili njia zetu ili tupate rehema yake?

Zb 32:5; Met 28:13; 1Yo 1:9

Rehema ya Yehova haimaanishi kwamba tutaepuka nidhamu au matokeo mabaya ya dhambi zetu

Kut 34:​6, 7; 2Sa 12:​9-13

Kwa nini tunapaswa kuwa wenye rehema?

Mt 6:14; Lu 6:36; Kol 3:13

Huenda uhusiano wetu na Yehova utakuwaje ikiwa tutashindwa kuonyesha rehema?

Mt 9:13; 23:23; Yak 2:13

Tazama pia Met 21:13

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 18:​23-35—Yesu anatumia mfano kuonyesha kwamba mtu asiyeonyesha rehema, hataonyeshwa rehema na Yehova

    • Lu 10:​29-37—Mfano unaojulikana sana unaonyesha kwamba Yehova na Yesu hawapendezwi na mtu asiyeonyesha rehema, bali wanafurahishwa na mtu anayeonyesha rehema kama vile yule Msamaria

Yehova anawatendeaje watu wanaoonyesha rehema?

Mt 5:7; Mk 11:25

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki