Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 15
  • Fadhili

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fadhili
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl uku. 15

Fadhili

Ni mambo gani yanayothibitisha kwamba Yehova ni mwenye fadhili?

Ro 3:​23, 24; Tit 3:​3-6; Ebr 2:9; 1Pe 5:5

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Yon 3:10; 4:11—Kwa fadhili, Yehova anawasamehe Waninawi wanaotubu, hata anawahangaikia wanyama wao

    • Lu 6:​32-36—Yesu anatuchochea tuwe wenye fadhili kwa kutukumbusha kwamba Yehova ni mwenye fadhili hata kwa wale wasio na shukrani na waovu

Ni baadhi ya njia gani tunazoweza kuonyesha fadhili?

Met 19:17; 22:9; Lu 6:35; Efe 4:32

Tazama pia Met 11:17; 31:​10, 26; Ebr 13:16

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mk 14:​3-9; Yoh 12:3—Yesu anamsifu Maria, dada ya Lazaro, kwa matendo yake ya ukarimu na fadhili

    • 2Ti 1:​16-18—Onesiforo anamburudisha mtume Paulo wakati akiwa gerezani

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki