Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 14-15
  • Dhamiri

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Dhamiri
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 14-15

Dhamiri

Ni nini kinachoonyesha kwamba Yehova amewapatia wanadamu wote dhamiri?

Ro 2:​14, 15

Tazama pia 2Ko 4:2

Dhamiri ya mtu itakuwaje ikiwa anaendelea kufanya mambo yasiyofaa?

1Ti 4:2; Tit 1:15

Tazama pia Ebr 10:22

Je, inatosha tu kuamini kwamba tunachofanya ni sawa?

Yoh 16:​2, 3; Ro 10:​2, 3

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 2Nya 18:​1-3; 19:​1, 2—Yehova alimkaripia Mfalme Yehoshafati kwa sababu alimsaidia mfalme mwovu Ahabu

    • Mdo 22:​19, 20; 26:​9-11—Mtume Paulo anaeleza kwamba awali alifikiri alifanya jambo linalofaa kwa kuwatesa na kuwaua wafuasi wa Kristo

Tunawezaje kuizoeza dhamiri yetu kwa njia inayofaa?

2Ti 3:​16, 17; Ebr 5:14

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • 1Sa 24:​2-7—Dhamiri ya Mfalme Daudi inamchochea kumtendea kwa heshima Mfalme Sauli aliyetiwa mafuta na Yehova

Wanadamu wenye dhambi wanawezaje kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu?

Efe 1:7; Ebr 9:14; 1Pe 3:21; 1Yo 1:​7, 9; 2:​1, 2

Tazama pia Ufu 1:5

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Isa 6:​1-8—Yehova anamhakikishia nabii Isaya kwamba dhambi zake zinaweza kusamehewa

    • Ufu 7:​9-14—Wale walio katika umati mkubwa wana urafiki wa karibu na Yehova kwa msingi wa nguvu za kusafisha za dhabihu ya Kristo

Kwa nini hatupaswi kupuuza mwongozo wa dhamiri ambayo imezoezwa kulingana na Neno la Mungu?

Mdo 24:​15, 16; 1Ti 1:​5, 6, 19; 1Pe 3:16

Tazama pia Ro 13:5

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 2:25; 3:​6-13—Adamu na Hawa wanapuuza dhamiri yao na kisha wanaona aibu kwa sababu wamekosa kumtii Mungu

    • Ne 5:​1-13—Gavana Nehemia anajitahidi kuchochea dhamiri za Wayahudi wenzake, ambao wanapuuza sheria za Mungu na kuwatoza wenzao riba kubwa

Kwa nini tunapaswa kuwa waangalifu tusimkwaze ndugu au dada ambaye bado hajazoeza vizuri dhamiri yake?

1Ko 8:​7, 10-13; 10:​28, 29

Tunapaswa kujiwekea lengo gani kuhusu dhamiri yetu?

2Ko 1:12; 2Ti 1:3; Ebr 13:18

Tazama pia Mdo 23:1; Ro 9:1; 1Ti 3:​8, 9

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki