Dhamiri
Ni nini kinachoonyesha kwamba Yehova amewapatia wanadamu wote dhamiri?
Tazama pia 2Ko 4:2
Dhamiri ya mtu itakuwaje ikiwa anaendelea kufanya mambo yasiyofaa?
Je, inatosha tu kuamini kwamba tunachofanya ni sawa?
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
2Nya 18:1-3; 19:1, 2—Yehova alimkaripia Mfalme Yehoshafati kwa sababu alimsaidia mfalme mwovu Ahabu
Mdo 22:19, 20; 26:9-11—Mtume Paulo anaeleza kwamba awali alifikiri alifanya jambo linalofaa kwa kuwatesa na kuwaua wafuasi wa Kristo
Tunawezaje kuizoeza dhamiri yetu kwa njia inayofaa?
Simulizi la Biblia linalohusika:
1Sa 24:2-7—Dhamiri ya Mfalme Daudi inamchochea kumtendea kwa heshima Mfalme Sauli aliyetiwa mafuta na Yehova
Wanadamu wenye dhambi wanawezaje kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu?
Efe 1:7; Ebr 9:14; 1Pe 3:21; 1Yo 1:7, 9; 2:1, 2
Tazama pia Ufu 1:5
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Isa 6:1-8—Yehova anamhakikishia nabii Isaya kwamba dhambi zake zinaweza kusamehewa
Ufu 7:9-14—Wale walio katika umati mkubwa wana urafiki wa karibu na Yehova kwa msingi wa nguvu za kusafisha za dhabihu ya Kristo
Kwa nini hatupaswi kupuuza mwongozo wa dhamiri ambayo imezoezwa kulingana na Neno la Mungu?
Mdo 24:15, 16; 1Ti 1:5, 6, 19; 1Pe 3:16
Tazama pia Ro 13:5
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Mwa 2:25; 3:6-13—Adamu na Hawa wanapuuza dhamiri yao na kisha wanaona aibu kwa sababu wamekosa kumtii Mungu
Ne 5:1-13—Gavana Nehemia anajitahidi kuchochea dhamiri za Wayahudi wenzake, ambao wanapuuza sheria za Mungu na kuwatoza wenzao riba kubwa