Burudani
Je, inafaa kwa Wakristo kupumzika na kufurahia tafrija au burudani ya aina fulani?
Simulizi la Biblia linalohusika:
Mk 6:31, 32—Ingawa Yesu alikuwa na kazi nyingi, alipendekeza yeye na wanafunzi wake watafute mahali ambapo wanaweza kupumzika
Ni kanuni gani zinazoweza kutusaidia kutanguliza utendaji wa kiroho badala ya tafrija?
Mt 6:21, 33; Efe 5:15-17; Flp 1:9, 10; 1Ti 4:8
Tazama pia Met 21:17; Mhu 7:4