Vita
Kwa nini tunapaswa kutarajia kwamba kutakuwa na vita vingi katika nyakati zetu?
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Da 11:40—Nabii Danieli anatabiri kwamba katika siku za mwisho serikali mbili zenye nguvu zingeendelea kusukumana au kushindana
Ufu 6:1-4—Katika maono, mtume Yohana anamwona farasi mwenye rangi ya moto anayefananisha vita, na yule aliyeketi juu yake anapewa ruhusa ya “kuondoa amani duniani”