‘Mngojee Yehova kwa Hamu’!
Asubuhi
- 3:30 Muziki 
- 3:40 Wimbo Na. 88 na Sala 
- 3:50 ‘Mngojee Yehova kwa Hamu’—Jinsi Gani? 
- 4:05 Mfululizo: Waige Wale Waliongojea kwa Hamu - • Habakuki 
- • Yohana 
- • Ana 
 
- 5:05 Wimbo Na. 142 na Matangazo 
- 5:15 Unangojea Nini? 
- 5:30 Wakfu na Ubatizo 
- 6:00 Wimbo Na. 28 
Alasiri
- 7:10 Muziki 
- 7:20 Wimbo Na. 54 na Sala 
- 7:30 Hotuba ya Watu Wote: Je, Subira Bado ni Sifa Yenye Thamani? 
- 8:00 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi 
- 8:30 Wimbo Na. 143 na Matangazo 
- 8:40 Mfululizo: Mngojee Yehova . . . - • Unapohisi Upweke 
- • Unapofanya Makosa 
- • Waovu Wanapofanikiwa 
 
- 9:40 “Kuna Thawabu kwa Ajili ya Mwadilifu” 
- 10:15 Wimbo Na. 140 na Sala