Ufanye Moyo wa Yehova Ushangilie!
ASUBUHI
3:30 Muziki
3:40 Wimbo Na. 29 na Sala
3:50 Ufanye Moyo wa Yehova Ushangilie!
4:05 Mfululizo: Kuiga Sifa Nne za Pekee za Yehova
• Haki
• Nguvu
• Hekima
• Upendo
5:05 Wimbo Na. 81 na Matangazo
5:15 Mtukuze Mungu kwa “Kuzaa Matunda Mengi”
5:30 Wakfu na Ubatizo
6:00 Wimbo Na. 49
ALASIRI
7:10 Muziki
7:20 Wimbo Na. 28 na Sala
7:30 Hotuba ya Watu Wote: Unaweza Kumfanya Mungu Ashangilie!—Jinsi Gani?
8:00 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi
8:30 Wimbo Na. 35 na Matangazo
8:40 Mfululizo: Mfurahishe Yehova Katika . . .
• Maisha Yako ya Kibinafsi
• Familia Yako
• Kutaniko Lako
• Eneo Unaloishi
9:40 “Shangwe ya Yehova Ndiyo Nguvu Yenu”
10:15 Wimbo Na. 110 na Sala