“Furahini kwa Sababu ya Yehova”
ASUBUHI
3:40 Muziki
3:50 Wimbo Na. 9 na Sala
4:00 “Furahini kwa Sababu ya Yehova na Kushangilia”
4:15 Kupata Shangwe Licha ya Hali Ngumu
4:30 ‘Jawa na Shangwe’ katika Huduma Yako
4:55 Wimbo Na. 76 na Matangazo
5:05 Msiache Mioyo Yenu ‘Ilemewe’
5:35 Wakfu na Ubatizo
6:05 Wimbo Na. 51
ALASIRI
7:20 Muziki
7:30 Wimbo Na. 111
7:35 Mambo Yaliyoonwa
7:45 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi
8:15 Mfululizo: Yehova Anafanya Tuwe na Shangwe
• Tunapofanya Wanafunzi
• Tunapowasaidia Waamini Wenzetu
• Tunapovumilia Majaribu
9:00 Wimbo Na. 2 na Matangazo
9:10 Mweke Yehova Mbele Yako Daima
9:55 Wimbo Na. 7 na Sala