DHAMIRI
(Ona pia Jeshi [Kutojiunga na Jeshi kwa Sababu ya Dhamiri]; Kutounga Mkono Siasa au Vita)
(Kuna kichwa kidogo: Manukuu)
Adamu na Hawa: lv 15-16
burudani: w04 2/15 18-19; g97 5/22 9
dhamiri njema au safi: w11 2/15 25-26; w08 8/15 28; lv 22-23; w06 3/15 8; w06 11/15 23-24; w05 10/1 14-15; w03 5/1 32; wt 38
“dhamiri nyoofu” (Ebr 13:18): w04 2/1 32
dini za uwongo zinavyoiathiri: w01 11/1 4-5
iliyotiwa unajisi: w07 10/15 25-26
iliyounguzwa (1Ti 4:2): lv 22; w05 10/1 14
inamsumbua mtu anapofanya dhambi: w97 7/15 6
inarithiwa: lv 15-17; w97 8/1 3
‘kufanya kwa asili mambo ya sheria’ (Ro 2:14): w07 10/15 20-21; w05 10/1 12
inatoa mwongozo: w07 10/15 22; w06 3/15 22-23; w05 10/1 12-13; w01 11/1 3-4; w00 5/1 16-17
inavyoathiriwa na marafiki: g 8/08 27; w07 10/15 22, 24; w01 11/1 6-7
inavyofanya kazi: lv 15; w07 10/15 21-22
inaweza kumpotosha mtu: lv 17-18; g 7/07 4-5
kama inafaa kutegemea mwongozo wa dhamiri: w07 10/15 22; w98 9/1 4-7
kila mtu alifanya “yaliyo sawa machoni pake mwenyewe” (Amu 17:6; 21:25): ct 134
“kuchukua udhaifu wa wale wasio na nguvu” (Ro 15:1): lv 20-21; w04 9/1 11-13
kufikiria dhamiri za wengine: w09 8/15 20; lv 19-21; w06 3/15 24-25; w04 3/1 30
burudani: lv 72-73
mapendezi ya mtu binafsi: w06 4/15 15-16
nyama iliyotolewa kama dhabihu kwa sanamu: lv 20-21; g03 5/8 27; w96 7/15 19-20
kuiboresha: w07 10/15 22-24, 29
kuilinda: w01 11/1 4-7
kuisikiliza: w05 10/1 14
kuizoeza: w11 2/15 26-27; lv 17-19; w05 10/1 13-14; w01 11/1 3-4; w98 9/1 4-7; w97 8/1 4-6
kujitiisha chini ya mamlaka zilizo kubwa (Ro 13:5):
kulipa kodi ijapokuwa zinatumiwa kuendeleza shughuli zisizopatana na Maandiko: w11 9/1 21-23
kushiriki katika baraza la raia la mahakama: w97 4/1 28-29
kutosisitiza wengine watende kupatana na dhamiri yako: lv 21; w04 9/1 8-13; w96 9/1 21-24
burudani: lv 73
mavazi: w04 9/1 11
wazee Wakristo: w96 9/1 22-23
kutumia damu kama dawa: lv 78-79; km 11/06 3-6; w04 6/15 22-24, 30-31; w00 6/15 29-31; w00 10/15 31
Maandiko ya Kiebrania: lv 16
maelezo: w09 8/15 19-20; lv 14-24; w07 10/15 20-29; w05 10/1 12-15; w98 9/1 3-7
mambo yaliyoonwa:
mtu akata miti ya tambuu: w97 8/1 7
manufaa ya dhamiri: w97 8/1 3-4
manufaa ya kuwa na dhamiri njema: lv 22-24
mtu anaweza kujistahi mwenyewe: w98 4/1 30-31
masuala yanayohusu dhamiri: w07 10/15 27-29; be 69-70
masuala yanayohusu kazi (ajira): w99 4/15 29
neno la Kigiriki: w05 10/1 12
ufafanuzi: w09 8/15 19; lv 15; w05 10/1 12
visa mbalimbali:
dhamiri za askari-jeshi zinazotofautiana: w98 9/1 3
Mafarisayo na makuhani wakuu: w98 9/1 4-5
Mashahidi warudisha kibeti walichookota: g05 8/22 31
mwanafunzi Shahidi akataa kusoma kitabu chenye kumvunjia Yesu heshima: w06 3/1 27
Shahidi arudishia serikali pesa alizolipwa kimakosa: w02 2/15 32
wanafunzi Mashahidi wakataa kushiriki katika mashindano: w06 8/15 11
Wakristo: w98 3/15 19-20
watoto:
haki yao ya kufuata dhamiri: ed 25
Yosefu (mwana wa Yakobo): w07 10/15 23-24
Manukuu
dhamiri iliyotulia hukuruhusu ulale fofofo: w97 8/1 4
dhamiri ni mojawapo ya sifa za ubinadamu ambazo tumepewa na Mungu: w07 10/15 21
sauti ya Mungu: w97 8/1 3