DRAMA
(Ona pia CD [Diski]; DVD; Photo-Drama of Creation; Vielelezo vya Unabii)
drama zilizoonyeshwa kwa picha: yb05 224-225
Iceland: yb05 224-225
mambo yaliyoonwa:
vifaa vya drama vyasafirishwa kwa gari-moshi (Urusi): yb08 213
vijana Mashahidi wasaidiwa: w09 6/15 14
Orodha Kulingana na Mwaka
1966, “Wana wa Mungu wa Uhuru” (Makusanyiko ya Wilaya):
Ona Biblia Kuwa Mwongozo wa Maisha Yetu:
Ona Uvumilivu wa Yeremia, Unahitajika Katika Siku Zetu:
Sikiliza Maneno ya Danieli kwa Ajili ya Siku Zetu (drama ya sauti):
1967, “Kufanya Wanafunzi” (Makusanyiko ya Wilaya):
Jina la Yehova Litatangazwa Duniani Kote (Musa, Mapigo Kumi, Kutoka kwa Waisraeli) (drama ya sauti):
Kuacha Mji wa Makimbilio Kwamaanisha Kifo:
Na Tufuate Kanuni za Milele za Mungu Maishani Mwetu:
1968, “Habari Njema kwa Mataifa Yote” (Makusanyiko ya Wilaya):
Je! Unakuwa Tayari Kutumika? (Binti Yeftha):
Kuzoezwa Kutambua Mema na Mabaya:
Mambo Ambayo Vijana Wanafanya Katika Huduma:
Njia ya Yehova Ni Njia ya Ushindi (Yeftha):
Unafuatilia Nini Maishani Mwako? (Abrahamu na Isaka, Yakobo na Esau):
1969, “Amani Duniani” (Makusanyiko ya Kimataifa):
Je! Wewe Ni Yona wa Kisasa?:
Jitie Nguvu ili Udumishe Ushikamanifu:
Maswali Yako ya Biblia Yajibiwa:
Miiba na Mitego Imo Katika Njia ya Mwenye Kujitegemea (mwana mpotevu): jv 175
“Usiache Mtu Yeyote Audharau Kamwe Ujana Wako”:
Usikose Kutambua Kusudi la Ukombozi wa Yehova:
Waangalizi, Tendeni Kama Wanaume!:
Waheshimu Watu Waliowekwa Rasmi na Yehova (Daudi, Sauli):
1970, “Watu Wenye Nia Njema” (Makusanyiko ya Wilaya):
Ni Nani Anayehitaji Msaada Wako?:
Upendo Ndio Kifungo Kikamilifu cha Umoja (Esta):
1971, “Jina la Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Lifanye Kusudi la Yehova Njia Yako ya Maisha (Ruthu, Naomi):
Mna Nini Katika Moyo Wako?:
Yehova Huwabariki Washikamanifu (Balaamu):
1972, “Utawala wa Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Jifungeni Unyenyekevu wa Akili (Naamani):
Mtumikie Yehova kwa Nafsi Yako Yote:
Wewe Ni Mwenye Rehema Kadiri Gani? (Yosefu):
1973, “Ushindi wa Kimungu” (Makusanyiko ya Kimataifa):
“Bidii kwa Ajili ya Nyumba Yako Itanila” (huduma ya Yesu):
“Endeleeni Kukaza Akili Zenu Juu ya Mambo Yaliyo Juu” (Daudi, Bath-sheba):
Ni Nani Atakayeponyoka na Kusimama Mbele ya Mwana wa Binadamu?:
‘Paazeni Sauti! Kwa Maana Yehova Amewapa Ninyi Jiji Hili!’ (Rahabu):
1974, “Kusudi la Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Jihadhari Usipoteze Imani kwa Kumwacha Yehova (Musa):
Ubora Uliojaribiwa wa Imani Yetu—Sababu ya Sifa na Heshima (Paulo):
Wewe Waisikiliza Mamlaka ya Nani? (Yeroboamu, nabii mzee):
1975, “Enzi Kuu ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
“Ili Neno la Mungu Lisitukanwe”:
“Iweni na Akili,” Mwendelee Kujenga Pamoja na Nuhu Mkubwa Zaidi:
Mazoea Safi na Adilifu—Ya Lazima kwa Maisha ya Mtoto (Samweli):
“Msifungwe Nira Pamoja na Wasioamini, kwa Jinsi Isivyo Sawasawa” (Eliya, Ahabu, Yezebeli):
1976, “Utumishi Mtakatifu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Je! Umekwisha Kaza Moyo Wako Juu ya Ibada ya Yehova? Umejitenga na Ulimwengu? (Yosia):
Je! Wewe Ni Mfano kwa Kundi?:
‘Katika Kuonyesha Heshima Wekeni Mfano’:
Kuendeleza Ukamilifu Mpaka Mwisho (Waebrania watatu):
1977, “Wafanya Kazi Wenye Furaha” (Makusanyiko ya Wilaya):
Je! Wewe Unamtumikia Mungu kwa Nafsi Yote? (Nehemia):
Jina la Yehova Litatangazwa Duniani Kote (Musa, Mapigo Kumi, Kutoka kwa Waisraeli) (drama ya sauti):
‘Mungu Hawi Mbali na Kila Mmoja Wetu’ (Hezekia):
1978, “Imani Ishindayo” (Makusanyiko ya Kimataifa):
Kujipamba kwa Wanawake Wakristo Kulingana na Maandiko:
“Usitazame Nyuma, Wala Usisimame” (Loti):
Vijana—Mradi Wenu Maishani Ni Nini? (Timotheo):
Wewe Ni wa Nani? (Wakristo wa karne ya kwanza):
1979, “Tumaini Lenye Uzima” (Makusanyiko la Wilaya):
“Mgeuzwe kwa Kubadili Akili Zenu” (Finehasi, Zimri, Kozbi):
Uhitaji wa Yatima—Je! Unaweza Kumsaidia?:
Wewe Unachagua Nini? (Musa):
1980, “Upendo wa Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Usidharau Vitu Vitakatifu (Yakobo, Esau):
Vita Si Yenu, Bali Ni ya Mungu (Yehoshafati):
Yehova Atalinda Njia ya Washikamanifu Wake (Daudi):
1981, “Ushikamanifu kwa Ufalme” (Makusanyiko ya Wilaya):
Jihadhari na Mazungumzo ya Uasi! (Kora, Dathani, Abiramu):
Yehova Awapa Washikamanifu Wake Thawabu (Sauli, Daudi):
1982, “Kweli ya Ufalme” (Makusanyiko ya Wilaya):
Mtangazaji Asiyeogopa wa Ujumbe Usiopendwa na Wengi (Yeremia):
‘Wasikieje Pasipo Mhubiri?’:
1983, “Umoja wa Ufalme” (Makusanyiko ya Wilaya):
Kudumisha Umoja Katika Familia:
Tunafanya Kazi ya Mungu Pamoja Licha ya Upinzani (Nehemia):
1984, “Ongezeko la Ufalme” (Makusanyiko ya Wilaya):
Elimu Kutoka kwa Mungu Yaongeza Tunda la Ufalme:
Jihadhari Usifanye Tendo la Upumbavu Wenye Kufedhehesha (Akani):
1985, “Washika Ukamilifu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Ogopa Mungu, Epuka Uovu (Ayubu):
Wakati Ujao Wako—Ni wa Kushindaniwa:
1986, “Amani ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Kuhifadhi Uhai Wakati wa Njaa (Yosefu):
Tafuteni Uadilifu wa Mungu Mkaokolewe:
1987, “Tumaini Katika Yehova” (Makusanyiko ya Wilaya):
Utii Mshikamanifu kwa Yehova na Tengenezo Lake:
Yehova Huokoa Wale Wanaoita Juu ya Jina Lake (Yoshua):
1988, “Haki ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Hukumu ya Yehova Dhidi ya Watu Wanaokaidi Sheria (siku za Noa, Loti):
Watiwa Alama kwa Ajili ya Kuokoka:
1989, “Ujitoaji Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Jitiisheni Wenyewe kwa Yehova:
1990, “Lugha Iliyo Safi” (Makusanyiko ya Wilaya):
Kufanya Mapenzi ya Mungu kwa Bidii:
Kukabiliana na Vitendo vya Kiufundi vya Ibilisi:
1991, “Wapendao Uhuru” (Makusanyiko ya Wilaya):
Tumewekwa Huru ili Kuendeleza Ibada ya Kweli (Ezra):
1992, “Wachukuaji Nuru” (Makusanyiko ya Wilaya):
Kufanya Yaliyo Sawa Machoni pa Yehova (Yosia):
1993, “Ufundishaji wa Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Usidanganyike Wala Kumdhihaki Mungu:
Vijana Wamkumbukao Muumba Wao Sasa:
1994, “Hofu ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Machaguo Unayokabili (Yoshua, Eliya):
1995, “Wasifaji Wenye Shangwe” (Makusanyiko ya Wilaya):
Kuheshimu Wastahiki Katika Miaka Yao ya Uzee: w96 1/15 9
1996, “Wajumbe wa Amani ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Kwa Nini Ustahi Mipango ya Kitheokrasi? (Gideoni): w97 1/15 9
1997, “Imani Katika Neno la Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Weka Jicho Lako Likiwa Sahili: w98 1/15 28
1998, “Njia ya Mungu ya Maisha” (Makusanyiko ya Wilaya):
Familia—Fanyeni Usomaji wa Biblia Kila Siku Uwe Njia Yenu ya Maisha! (Waebrania watatu): w99 1/15 9
1999, “Neno la Mungu la Kiunabii” (Makusanyiko ya Wilaya):
Kuthamini Urithi Wetu wa Kiroho (Yakobo na Esau): w00 1/15 7; g99 6/8 32
2000, “Watekelezaji wa Neno la Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Vielelezo vya Kuonya Leo (Nchi Tambarare za Moabu): w01 1/15 27; g00 6/8 32
2001, “Walimu wa Neno la Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Heshimu Mamlaka ya Yehova (Kora, Dathani, Abiramu): w02 1/15 29; g01 6/8 32
2002, “Watangazaji wa Ufalme Wenye Bidii” (Makusanyiko ya Wilaya):
Simama Imara Katika Nyakati za Taabu (Yeremia): w03 1/15 27
2003, “Mtukuzeni Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Kuhubiri kwa Ujasiri Licha ya Upinzani (Stefano): w04 1/15 25
2004, “Tembea Pamoja na Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Walitoa Ushahidi Kamili Kuhusu Habari Njema (Paulo): g04 6/8 32
2005, “Utii wa Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Fuatia Miradi Inayomletea Mungu Heshima (Timotheo): g05 6/8 32
2006, “Ukombozi Unakaribia!” (Makusanyiko ya Wilaya):
Ni Mamlaka ya Nani Unayotii? (nabii kutoka Yuda): g 6/06 32
2007, “Mfuateni Kristo!” (Makusanyiko ya Wilaya):
Jivikeni Unyenyekevu wa Akili (Gehazi): g 6/07 32
Neno la Mungu “Liko Hai Nalo Lina Nguvu” (Marko 4:35–5:43) (drama ya sauti):
2008, “Kuongozwa na Roho ya Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):
Iweni Wasikiaji na Watendaji wa Neno la Mungu (Shetani, Yesu; mjane, Eliya) (drama ya sauti):
Usiache “Upendo Uliokuwa Nao Mwanzoni” (Wakristo walioishi mwishoni mwa karne ya kwanza): g 6/08 32
2009, “Endeleeni Kukesha!” (Makusanyiko ya Wilaya):
“Mpaka Nitakapokata Pumzi Sitajiondolea Utimilifu Wangu!” (Ayubu, Danieli) (drama ya sauti): g 6/09 32
“Ndugu Yako Alikuwa Amekufa Naye Yuko Hai Sasa” (mwana mpotevu): g 6/09 32
2010, “Kaa Karibu na Yehova!” (Makusanyiko ya Wilaya):
‘Tembea kwa Imani, Si kwa Kuona’ (Wakristo wa karne ya kwanza wakimbia Yerusalemu): g 6/10 32
“Usife Moyo Unaporekebishwa na Yehova!” (Yona) (drama ya sauti): g 6/10 32