Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Drama

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Drama
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Orodha Kulingana na Mwaka
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

DRAMA

(Ona pia CD [Diski]; DVD; Photo-Drama of Creation; Vielelezo vya Unabii)

drama zilizoonyeshwa kwa picha: yb05 224-225

Iceland: yb05 224-225

mambo yaliyoonwa:

vifaa vya drama vyasafirishwa kwa gari-moshi (Urusi): yb08 213

vijana Mashahidi wasaidiwa: w09 6/15 14

Orodha Kulingana na Mwaka

1966, “Wana wa Mungu wa Uhuru” (Makusanyiko ya Wilaya):

Ona Biblia Kuwa Mwongozo wa Maisha Yetu:

Ona Uvumilivu wa Yeremia, Unahitajika Katika Siku Zetu:

Sikiliza Maneno ya Danieli kwa Ajili ya Siku Zetu (drama ya sauti):

1967, “Kufanya Wanafunzi” (Makusanyiko ya Wilaya):

Jina la Yehova Litatangazwa Duniani Kote (Musa, Mapigo Kumi, Kutoka kwa Waisraeli) (drama ya sauti):

Kuacha Mji wa Makimbilio Kwamaanisha Kifo:

Na Tufuate Kanuni za Milele za Mungu Maishani Mwetu:

1968, “Habari Njema kwa Mataifa Yote” (Makusanyiko ya Wilaya):

Je! Unakuwa Tayari Kutumika? (Binti Yeftha):

Kuzoezwa Kutambua Mema na Mabaya:

Mambo Ambayo Vijana Wanafanya Katika Huduma:

Njia ya Yehova Ni Njia ya Ushindi (Yeftha):

Unafuatilia Nini Maishani Mwako? (Abrahamu na Isaka, Yakobo na Esau):

1969, “Amani Duniani” (Makusanyiko ya Kimataifa):

Je! Wewe Ni Yona wa Kisasa?:

Jitie Nguvu ili Udumishe Ushikamanifu:

Maswali Yako ya Biblia Yajibiwa:

Miiba na Mitego Imo Katika Njia ya Mwenye Kujitegemea (mwana mpotevu): jv 175

“Usiache Mtu Yeyote Audharau Kamwe Ujana Wako”:

Usikose Kutambua Kusudi la Ukombozi wa Yehova:

Waangalizi, Tendeni Kama Wanaume!:

Waheshimu Watu Waliowekwa Rasmi na Yehova (Daudi, Sauli):

1970, “Watu Wenye Nia Njema” (Makusanyiko ya Wilaya):

Ni Nani Anayehitaji Msaada Wako?:

Upendo Ndio Kifungo Kikamilifu cha Umoja (Esta):

1971, “Jina la Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Lifanye Kusudi la Yehova Njia Yako ya Maisha (Ruthu, Naomi):

Mna Nini Katika Moyo Wako?:

Yehova Huwabariki Washikamanifu (Balaamu):

1972, “Utawala wa Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Jifungeni Unyenyekevu wa Akili (Naamani):

Mtumikie Yehova kwa Nafsi Yako Yote:

Wewe Ni Mwenye Rehema Kadiri Gani? (Yosefu):

1973, “Ushindi wa Kimungu” (Makusanyiko ya Kimataifa):

“Bidii kwa Ajili ya Nyumba Yako Itanila” (huduma ya Yesu):

“Endeleeni Kukaza Akili Zenu Juu ya Mambo Yaliyo Juu” (Daudi, Bath-sheba):

Ni Nani Atakayeponyoka na Kusimama Mbele ya Mwana wa Binadamu?:

‘Paazeni Sauti! Kwa Maana Yehova Amewapa Ninyi Jiji Hili!’ (Rahabu):

1974, “Kusudi la Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Jihadhari Usipoteze Imani kwa Kumwacha Yehova (Musa):

Ubora Uliojaribiwa wa Imani Yetu—Sababu ya Sifa na Heshima (Paulo):

Wewe Waisikiliza Mamlaka ya Nani? (Yeroboamu, nabii mzee):

1975, “Enzi Kuu ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

“Ili Neno la Mungu Lisitukanwe”:

“Iweni na Akili,” Mwendelee Kujenga Pamoja na Nuhu Mkubwa Zaidi:

Mazoea Safi na Adilifu—Ya Lazima kwa Maisha ya Mtoto (Samweli):

“Msifungwe Nira Pamoja na Wasioamini, kwa Jinsi Isivyo Sawasawa” (Eliya, Ahabu, Yezebeli):

1976, “Utumishi Mtakatifu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Je! Umekwisha Kaza Moyo Wako Juu ya Ibada ya Yehova? Umejitenga na Ulimwengu? (Yosia):

Je! Wewe Ni Mfano kwa Kundi?:

‘Katika Kuonyesha Heshima Wekeni Mfano’:

Kuendeleza Ukamilifu Mpaka Mwisho (Waebrania watatu):

1977, “Wafanya Kazi Wenye Furaha” (Makusanyiko ya Wilaya):

Je! Wewe Unamtumikia Mungu kwa Nafsi Yote? (Nehemia):

Jina la Yehova Litatangazwa Duniani Kote (Musa, Mapigo Kumi, Kutoka kwa Waisraeli) (drama ya sauti):

‘Mungu Hawi Mbali na Kila Mmoja Wetu’ (Hezekia):

1978, “Imani Ishindayo” (Makusanyiko ya Kimataifa):

Kujipamba kwa Wanawake Wakristo Kulingana na Maandiko:

“Usitazame Nyuma, Wala Usisimame” (Loti):

Vijana—Mradi Wenu Maishani Ni Nini? (Timotheo):

Wewe Ni wa Nani? (Wakristo wa karne ya kwanza):

1979, “Tumaini Lenye Uzima” (Makusanyiko la Wilaya):

“Mgeuzwe kwa Kubadili Akili Zenu” (Finehasi, Zimri, Kozbi):

Uhitaji wa Yatima—Je! Unaweza Kumsaidia?:

Wewe Unachagua Nini? (Musa):

1980, “Upendo wa Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Usidharau Vitu Vitakatifu (Yakobo, Esau):

Vita Si Yenu, Bali Ni ya Mungu (Yehoshafati):

Yehova Atalinda Njia ya Washikamanifu Wake (Daudi):

1981, “Ushikamanifu kwa Ufalme” (Makusanyiko ya Wilaya):

Jihadhari na Mazungumzo ya Uasi! (Kora, Dathani, Abiramu):

Yehova Awapa Washikamanifu Wake Thawabu (Sauli, Daudi):

1982, “Kweli ya Ufalme” (Makusanyiko ya Wilaya):

Mtangazaji Asiyeogopa wa Ujumbe Usiopendwa na Wengi (Yeremia):

‘Wasikieje Pasipo Mhubiri?’:

1983, “Umoja wa Ufalme” (Makusanyiko ya Wilaya):

Kudumisha Umoja Katika Familia:

Tunafanya Kazi ya Mungu Pamoja Licha ya Upinzani (Nehemia):

1984, “Ongezeko la Ufalme” (Makusanyiko ya Wilaya):

Elimu Kutoka kwa Mungu Yaongeza Tunda la Ufalme:

Jihadhari Usifanye Tendo la Upumbavu Wenye Kufedhehesha (Akani):

1985, “Washika Ukamilifu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Ogopa Mungu, Epuka Uovu (Ayubu):

Wakati Ujao Wako—Ni wa Kushindaniwa:

1986, “Amani ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Kuhifadhi Uhai Wakati wa Njaa (Yosefu):

Tafuteni Uadilifu wa Mungu Mkaokolewe:

1987, “Tumaini Katika Yehova” (Makusanyiko ya Wilaya):

Utii Mshikamanifu kwa Yehova na Tengenezo Lake:

Yehova Huokoa Wale Wanaoita Juu ya Jina Lake (Yoshua):

1988, “Haki ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Hukumu ya Yehova Dhidi ya Watu Wanaokaidi Sheria (siku za Noa, Loti):

Watiwa Alama kwa Ajili ya Kuokoka:

1989, “Ujitoaji Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Jitiisheni Wenyewe kwa Yehova:

1990, “Lugha Iliyo Safi” (Makusanyiko ya Wilaya):

Kufanya Mapenzi ya Mungu kwa Bidii:

Kukabiliana na Vitendo vya Kiufundi vya Ibilisi:

1991, “Wapendao Uhuru” (Makusanyiko ya Wilaya):

Tumewekwa Huru ili Kuendeleza Ibada ya Kweli (Ezra):

1992, “Wachukuaji Nuru” (Makusanyiko ya Wilaya):

Kufanya Yaliyo Sawa Machoni pa Yehova (Yosia):

1993, “Ufundishaji wa Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Usidanganyike Wala Kumdhihaki Mungu:

Vijana Wamkumbukao Muumba Wao Sasa:

1994, “Hofu ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Machaguo Unayokabili (Yoshua, Eliya):

1995, “Wasifaji Wenye Shangwe” (Makusanyiko ya Wilaya):

Kuheshimu Wastahiki Katika Miaka Yao ya Uzee: w96 1/15 9

1996, “Wajumbe wa Amani ya Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Kwa Nini Ustahi Mipango ya Kitheokrasi? (Gideoni): w97 1/15 9

1997, “Imani Katika Neno la Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Weka Jicho Lako Likiwa Sahili: w98 1/15 28

1998, “Njia ya Mungu ya Maisha” (Makusanyiko ya Wilaya):

Familia—Fanyeni Usomaji wa Biblia Kila Siku Uwe Njia Yenu ya Maisha! (Waebrania watatu): w99 1/15 9

1999, “Neno la Mungu la Kiunabii” (Makusanyiko ya Wilaya):

Kuthamini Urithi Wetu wa Kiroho (Yakobo na Esau): w00 1/15 7; g99 6/8 32

2000, “Watekelezaji wa Neno la Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Vielelezo vya Kuonya Leo (Nchi Tambarare za Moabu): w01 1/15 27; g00 6/8 32

2001, “Walimu wa Neno la Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Heshimu Mamlaka ya Yehova (Kora, Dathani, Abiramu): w02 1/15 29; g01 6/8 32

2002, “Watangazaji wa Ufalme Wenye Bidii” (Makusanyiko ya Wilaya):

Simama Imara Katika Nyakati za Taabu (Yeremia): w03 1/15 27

2003, “Mtukuzeni Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Kuhubiri kwa Ujasiri Licha ya Upinzani (Stefano): w04 1/15 25

2004, “Tembea Pamoja na Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Walitoa Ushahidi Kamili Kuhusu Habari Njema (Paulo): g04 6/8 32

2005, “Utii wa Kimungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Fuatia Miradi Inayomletea Mungu Heshima (Timotheo): g05 6/8 32

2006, “Ukombozi Unakaribia!” (Makusanyiko ya Wilaya):

Ni Mamlaka ya Nani Unayotii? (nabii kutoka Yuda): g 6/06 32

2007, “Mfuateni Kristo!” (Makusanyiko ya Wilaya):

Jivikeni Unyenyekevu wa Akili (Gehazi): g 6/07 32

Neno la Mungu “Liko Hai Nalo Lina Nguvu” (Marko 4:35–5:43) (drama ya sauti):

2008, “Kuongozwa na Roho ya Mungu” (Makusanyiko ya Wilaya):

Iweni Wasikiaji na Watendaji wa Neno la Mungu (Shetani, Yesu; mjane, Eliya) (drama ya sauti):

Usiache “Upendo Uliokuwa Nao Mwanzoni” (Wakristo walioishi mwishoni mwa karne ya kwanza): g 6/08 32

2009, “Endeleeni Kukesha!” (Makusanyiko ya Wilaya):

“Mpaka Nitakapokata Pumzi Sitajiondolea Utimilifu Wangu!” (Ayubu, Danieli) (drama ya sauti): g 6/09 32

“Ndugu Yako Alikuwa Amekufa Naye Yuko Hai Sasa” (mwana mpotevu): g 6/09 32

2010, “Kaa Karibu na Yehova!” (Makusanyiko ya Wilaya):

‘Tembea kwa Imani, Si kwa Kuona’ (Wakristo wa karne ya kwanza wakimbia Yerusalemu): g 6/10 32

“Usife Moyo Unaporekebishwa na Yehova!” (Yona) (drama ya sauti): g 6/10 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki