IBADA YA SANAMU
(Ona pia Kuheshimu [Kuabudu]; Picha za Watakatifu; Sanamu [za Ibada])
Adamu na Hawa: ip-2 69
aina mbalimbali za ibada ya sanamu: re 44; w99 5/15 14
desturi za kutumia sanamu katika ibada: w09 11/1 9; rs 260-264
kutamani: w08 4/15 5; w08 6/15 9; g02 7/8 21
“kuwaabudu” watu mashuhuri: g03 1/8 28
pupa: w01 6/15 6
tumbo (Flp 3:19): w08 4/15 4-5; w01 6/15 15
desturi ya kutukuza msalaba: g 4/06 12-13; rs 214
“dhabihu kwa roho waovu” (Zb 106:36, 37; 1Ko 10:20): w06 7/15 13
dini zinazodai kuwa za Kikristo: rs 262-263; w02 7/1 4-5, 7-8; w96 7/1 5
“ibada haramu za sanamu” (1Pe 4:3): w01 7/15 28
Israeli (la kale):
Baali wa Peori: jd 91-92
ibada ya ndama: my 36
ibada ya ndama nyikani: w01 6/15 15-16; w96 6/15 18-19
maelezo ya Isaya (Isa 57:3-8): ip-2 263-266
unabii wa Isaya (Isa 2:8-22): ip-1 50-54, 56
wafalme wajaribu kuikomesha ibada ya sanamu: w09 6/15 12
kuikimbia ibada ya sanamu: w08 6/15 9
mambo yaliyoonwa:
msichana asali apate msaada wa kumjua Mungu wa kweli: w09 6/15 12
mume na mke wapika chakula wakitumia sanamu kama kuni: yb04 63
watu wa jumuiya wateketeza sanamu zao: w00 11/15 9
maoni ya Biblia: rk 10; w09 11/1 9; od 184-185, 202-203; rs 261-264, 407; ip-2 93, 95-96
amri ya pili: w09 2/1 30; g 8/08 20-21; ip-2 65-66
ibada ya sanamu ni yenye kuchukiza: jd 91-92
Paulo atoa hotuba Athene (Mdo 17): bt 142-146
upumbavu: ip-2 65-69, 97, 99
Milki ya Roma:
bendera (nembo): w99 5/1 15
“mizoga ya wafalme wao” (Eze 43:7-9): w07 8/1 10
picha za watakatifu: g05 5/8 20-21; w02 7/1 3-8
Shetani aliianzisha: ip-2 68-69