Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Vipingamizi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Vipingamizi
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Vipingamizi vya Kawaida
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

VIPINGAMIZI

kuwajibu wanaopinga: be 66-69, 168, 177-178, 195, 253

mambo yaliyoonwa:

Biblia yatumiwa kwa mafanikio: w00 1/15 18

mwenye nyumba aliyekuwa na shughuli nyingi: yb04 58

mwenye nyumba aliyepinga msimamo wa Mashahidi kuhusu kutiwa damu mishipani: w02 10/15 30

mtazamo kuvihusu: rs 15-16; be 199

Vipingamizi vya Kawaida

Biblia:

“Biblia iliandikwa na wanadamu”: rs 39

“haina faida leo”: rs 40; jt 22-24

“haipatani na sayansi”: jt 27-28

“inajipinga yenyewe”: rs 39

“kila mtu huifafanua kwa njia yake mwenyewe”: rs 39-40

“mimi siamini Biblia”: rs 38-39; wt 24-25

“naamini Biblia yangu tu”: rs 41-42

“ni kitabu cha Wazungu”: rs 41

“ni kitabu kizuri, lakini hakina ukweli kamili”: rs 40-41

“nina Biblia yangu”: g99 12/22 13

damu:

“namna gani daktari akisema, ‘utakufa usipotiwa damu mishipani’?”: rs 47-48

“ninyi hamkubali kutiwa damu mishipani”: rs 47

“ninyi huwaacha watoto wenu wafe”: rs 46

dini:

“dini zote ni nzuri”: rs 68

“kuna unafiki mwingi mno katika dini”: rs 67

“kwa nini unafikiri kwamba kuna dini moja tu ya kweli?”: rs 68-69

“maadamu unamwamini Yesu, haidhuru unashirikiana na kanisa gani”: rs 68

“mimi husoma tu Biblia nyumbani na kusali kwa Mungu nipate kuielewa”: rs 69

“mimi ni Mbudha”: rs 21

“mimi ni Mhindu”: rs 21-22

“mimi ni Mwislamu”: rs 23-24

“mimi ni Myahudi”: rs 22-23

“mimi sipendezwi na dini. Ninaamini kwamba jambo la maana ni uhusiano wa kibinafsi pamoja na Mungu”: rs 67

“naishi maisha mema. Ninawatendea majirani wangu vema. Hiyo kwangu ni dini ya kutosha”: rs 67

“ni afadhali nifanye bidii kuiboresha dini yangu mwenyewe”: rs 67-68

“ni jambo la kibinafsi”: rs 69

“nina dini yangu mwenyewe”: w12 3/15 13; rs 18-19

“sipendezwi na dini”: rs 16-17, 66-67; w00 1/15 18

“tayari sisi ni Wakristo hapa kwetu”: rs 19

kunyakuliwa: rs 115

kusema kwa lugha: rs 124

kuteseka ulimwenguni: rs 131

kuzaliwa mara ya pili: rs 148-149

kuzaliwa upya katika mwili mwingine: rs 153

Maria, mama ya Yesu:

“ninyi hamwamini Bikira Maria”: rs 187

Mashahidi wa Yehova:

“kwa nini hamshiriki kufanya ulimwengu (jumuiya) kuwa mahali bora”?: rs 196-197

“kwa nini mnawatembelea watu mara nyingi?”: rs 20

“kwa nini mnawatembelea watu walio na dini yao wenyewe?”: jt 29

“mimi sipendezwi na Mashahidi wa Yehova”: rs 17

“mnavunja familia”: w08 11/1 11-13

“ninyi mnakazia mno unabii”: rs 346

“ninyi ndio manabii wa uwongo”: rs 180

“tayari naijua vizuri kazi yenu”: rs 20

“Wakristo wanapaswa kuwa mashahidi wa Yesu, wala si wa Yehova”: rs 197

“mimi sipendezwi”: w12 3/15 13; km 1/07 1; w05 5/15 26; rs 16; jv 516

moto wa mateso:

“je, unaamini kwamba kuna moto wa mateso”: w12 10/1 12-14

Mungu:

“mimi naamini tu kitu ninachoweza kuona”: cf 115-116; rs 221

“mimi nina maoni yangu mwenyewe kumhusu Mungu”: rs 221

“mimi siamini Mungu”: rs 220; km 12/99 8

nadharia ya mageuzi:

“Mungu alimuumba mwanadamu kupitia mageuzi”: rs 167-168

“ninaamini mageuzi”: rs 166-167

“watu wenye elimu ya juu wanaamini mageuzi”: rs 168

ngono kati ya watu wa jinsia moja: rs 237-238

“nina shughuli”: w12 3/15 13; rs 19-20

roho takatifu:

“je, una roho takatifu (Roho Mtakatifu)?”: rs 246

Sabato: rs 256-257

siku za mwisho:

“hali si mbaya sana leo”: rs 292

“huenda ishara zitatimia hata zaidi wakati ujao kuliko zinavyotimia leo”: rs 292

“mwisho hautakuja tukiwa hai”: rs 292-293

“nina matarajio mazuri kuhusu wakati ujao”: rs 293

“wakati ujao haunihangaishi”: rs 293

“sina pesa”: rs 20-21

Tafsiri ya Ulimwengu Mpya:

“ninyi mna Biblia yenu wenyewe”: rs 296-297

Ufalme:

“hautakuja nikiwa hai”: rs 319

uovu:

“kwa nini Mungu anaruhusu uovu?”: rs 354

“siamini kwamba Mungu atafanya lolote ili kubadili mambo”: rs 354-355

uponyaji wa imani: rs 359-360

Utatu: rs 389-390

watakatifu: rs 409

wokovu:

“je, wewe umeokoka?”: rs 418-419

“mnaamini kwamba ni Mashahidi wa Yehova tu watakaookoka”: w08 11/1 28; jt 29

“mnasema kwamba ni 144,000 tu ndio watakaookolewa”: rs 419

“nimeokoka”: rs 418

Yesu Kristo:

“je, umemkubali Yesu kuwa Mwokozi wa maisha yako?”: rs 438

“mimi nimemkubali Yesu kuwa Mwokozi wa maisha yangu”: rs 438

“ninyi hamwamini Yesu”: rs 437-438

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki