VIPINGAMIZI
kuwajibu wanaopinga: be 66-69, 168, 177-178, 195, 253
mambo yaliyoonwa:
Biblia yatumiwa kwa mafanikio: w00 1/15 18
mwenye nyumba aliyekuwa na shughuli nyingi: yb04 58
mwenye nyumba aliyepinga msimamo wa Mashahidi kuhusu kutiwa damu mishipani: w02 10/15 30
mtazamo kuvihusu: rs 15-16; be 199
Vipingamizi vya Kawaida
Biblia:
“Biblia iliandikwa na wanadamu”: rs 39
“haina faida leo”: rs 40; jt 22-24
“haipatani na sayansi”: jt 27-28
“inajipinga yenyewe”: rs 39
“kila mtu huifafanua kwa njia yake mwenyewe”: rs 39-40
“mimi siamini Biblia”: rs 38-39; wt 24-25
“naamini Biblia yangu tu”: rs 41-42
“ni kitabu cha Wazungu”: rs 41
“ni kitabu kizuri, lakini hakina ukweli kamili”: rs 40-41
“nina Biblia yangu”: g99 12/22 13
damu:
“namna gani daktari akisema, ‘utakufa usipotiwa damu mishipani’?”: rs 47-48
“ninyi hamkubali kutiwa damu mishipani”: rs 47
“ninyi huwaacha watoto wenu wafe”: rs 46
dini:
“dini zote ni nzuri”: rs 68
“kuna unafiki mwingi mno katika dini”: rs 67
“kwa nini unafikiri kwamba kuna dini moja tu ya kweli?”: rs 68-69
“maadamu unamwamini Yesu, haidhuru unashirikiana na kanisa gani”: rs 68
“mimi husoma tu Biblia nyumbani na kusali kwa Mungu nipate kuielewa”: rs 69
“mimi ni Mbudha”: rs 21
“mimi ni Mhindu”: rs 21-22
“mimi ni Mwislamu”: rs 23-24
“mimi ni Myahudi”: rs 22-23
“mimi sipendezwi na dini. Ninaamini kwamba jambo la maana ni uhusiano wa kibinafsi pamoja na Mungu”: rs 67
“naishi maisha mema. Ninawatendea majirani wangu vema. Hiyo kwangu ni dini ya kutosha”: rs 67
“ni afadhali nifanye bidii kuiboresha dini yangu mwenyewe”: rs 67-68
“ni jambo la kibinafsi”: rs 69
“nina dini yangu mwenyewe”: w12 3/15 13; rs 18-19
“sipendezwi na dini”: rs 16-17, 66-67; w00 1/15 18
“tayari sisi ni Wakristo hapa kwetu”: rs 19
kunyakuliwa: rs 115
kusema kwa lugha: rs 124
kuteseka ulimwenguni: rs 131
kuzaliwa mara ya pili: rs 148-149
kuzaliwa upya katika mwili mwingine: rs 153
Maria, mama ya Yesu:
“ninyi hamwamini Bikira Maria”: rs 187
Mashahidi wa Yehova:
“kwa nini hamshiriki kufanya ulimwengu (jumuiya) kuwa mahali bora”?: rs 196-197
“kwa nini mnawatembelea watu mara nyingi?”: rs 20
“kwa nini mnawatembelea watu walio na dini yao wenyewe?”: jt 29
“mimi sipendezwi na Mashahidi wa Yehova”: rs 17
“mnavunja familia”: w08 11/1 11-13
“ninyi mnakazia mno unabii”: rs 346
“ninyi ndio manabii wa uwongo”: rs 180
“tayari naijua vizuri kazi yenu”: rs 20
“Wakristo wanapaswa kuwa mashahidi wa Yesu, wala si wa Yehova”: rs 197
“mimi sipendezwi”: w12 3/15 13; km 1/07 1; w05 5/15 26; rs 16; jv 516
moto wa mateso:
“je, unaamini kwamba kuna moto wa mateso”: w12 10/1 12-14
Mungu:
“mimi naamini tu kitu ninachoweza kuona”: cf 115-116; rs 221
“mimi nina maoni yangu mwenyewe kumhusu Mungu”: rs 221
“mimi siamini Mungu”: rs 220; km 12/99 8
nadharia ya mageuzi:
“Mungu alimuumba mwanadamu kupitia mageuzi”: rs 167-168
“ninaamini mageuzi”: rs 166-167
“watu wenye elimu ya juu wanaamini mageuzi”: rs 168
ngono kati ya watu wa jinsia moja: rs 237-238
“nina shughuli”: w12 3/15 13; rs 19-20
roho takatifu:
“je, una roho takatifu (Roho Mtakatifu)?”: rs 246
Sabato: rs 256-257
siku za mwisho:
“hali si mbaya sana leo”: rs 292
“huenda ishara zitatimia hata zaidi wakati ujao kuliko zinavyotimia leo”: rs 292
“mwisho hautakuja tukiwa hai”: rs 292-293
“nina matarajio mazuri kuhusu wakati ujao”: rs 293
“wakati ujao haunihangaishi”: rs 293
“sina pesa”: rs 20-21
Tafsiri ya Ulimwengu Mpya:
“ninyi mna Biblia yenu wenyewe”: rs 296-297
Ufalme:
“hautakuja nikiwa hai”: rs 319
uovu:
“kwa nini Mungu anaruhusu uovu?”: rs 354
“siamini kwamba Mungu atafanya lolote ili kubadili mambo”: rs 354-355
uponyaji wa imani: rs 359-360
Utatu: rs 389-390
watakatifu: rs 409
wokovu:
“je, wewe umeokoka?”: rs 418-419
“mnaamini kwamba ni Mashahidi wa Yehova tu watakaookoka”: w08 11/1 28; jt 29
“mnasema kwamba ni 144,000 tu ndio watakaookolewa”: rs 419
“nimeokoka”: rs 418
Yesu Kristo:
“je, umemkubali Yesu kuwa Mwokozi wa maisha yako?”: rs 438
“mimi nimemkubali Yesu kuwa Mwokozi wa maisha yangu”: rs 438
“ninyi hamwamini Yesu”: rs 437-438