FARAO
Musa alipokuwa kijana:
binti Farao amfanya Musa kuwa mwanawe: g04 4/8 6-7; w02 6/15 9-10; w97 5/1 30
Waisraeli wakandamizwa: my 27
siku za Yosefu:
ndoto: my 23; w96 10/1 5, 7
sherehe ya siku ya kuzaliwa: w98 10/15 31
Waisraeli walipotoka Misri:
jina la Farao halikutajwa: g04 4/8 7-8
kilichofanya ‘aachwe kuendelea kuwako’ (Kut 9:16): w05 5/15 21
majivuno: w05 10/15 22
moyo wa Farao ulizidi kuwa mgumu: w05 5/15 21; my 31
Farao Mbalimbali
Mernepta:
maandishi kwenye jiwe yanayotaja ushindi juu ya Waisraeli: g 5/12 18; g 11/10 18; w06 7/15 24
Neko:
vita vya Karkemishi: jr 24; dp 31
Shishaki (Sheshonki wa Kwanza):
avamia Yuda: g 11/10 16-17; w08 7/1 24