VIWANGO (Kanuni)
(Ona pia Biblia, Kanuni za; Kanuni za Maadili; Maadili; Uzito [Uzani na Vipimo])
kanuni na viwango vya vipimo vinapobadilika: w01 6/1 3-4
kanuni za maadili: g 7/07 3-5; w04 12/1 3-7
kujiwekea kanuni za maadili si jambo la akili: w07 10/1 4; w04 12/1 6
zinapozorota: w01 6/1 3-6
manufaa: jd 83-84
vya Yehova: g 7/07 4-7; jd 83-95; cl 158-160; w01 1/15 4-6
kuishi kupatana na kanuni za Yehova: yp2 282-286, 288; g 11/07 26-28
kuzifuata kanuni za Yehova: od 135-144; w02 8/1 17-19; w97 1/15 20-21
manufaa: g 11/08 7-8; g 7/07 21; w06 10/1 9-10; w01 6/1 6
ni zenye usawaziko: g97 1/22 7-9
si vigumu sana kuzifuata: jd 84-86
uadilifu: w02 6/1 13-14
upendo kwa ajili ya: w12 8/15 13