KULIPIZA KISASI
(Ona pia Malipo [Adhabu])
biashara ya kulipiza kisasi (Japani): g98 12/22 29
Daudi hakuwa na mwelekeo wa kulipiza kisasi: w04 4/1 16-17
“jicho kwa jicho” (sheria ya kulipiza kisasi): g 9/10 10-11; w09 9/1 22
kutoshangilia mtu mwingine anapopata matatizo: jd 112-114
mambo yaliyoonwa:
kijana aguswa moyo kwa sababu ndugu yake hakulipiza kisasi: yb10 63-64
mambo yaliyoonwa kuhusu kutolipiza kisasi:
ndugu ya baba ya Mhamaji auawa: g03 1/8 18-20
maoni ya Biblia kuhusu kulipiza kisasi: w09 9/1 20-23; w09 10/15 10; w07 7/1 25-26; w06 11/15 7; w03 11/15 25; g01 10/22 13-15; rq 21
“iachieni nafasi ghadhabu” (Ro 12:19): w00 3/15 29
maoni ya Kikristo kuhusu kulipiza kisasi: w07 7/1 22-26; lr 102-105
mume au mke anapokosa kuwa mwaminifu: w10 6/15 32
matokeo mabaya ya kulipiza kisasi: w09 9/1 20-22
upendo “hauweki hesabu ya ubaya” (1Ko 13:5): cl 307
wafanya kazi wanaolipiza kisasi: w09 9/1 20
wana wa Yakobo wamlipizia Dina kisasi: w10 6/15 16-17; w09 9/1 20-21; g01 10/22 14
watekelezi wanaotumiwa na Yehova kulipiza kisasi:
Yesu Kristo: w04 11/15 19
Yehova atalipiza kisasi: w11 10/1 6
“kisasi ni changu” (Ebr 10:30): w08 11/1 10
“kulipiza kisasi cha damu yetu” (Ufu 6:10): w07 1/1 29-30; re 100-103, 289
“siku ya kisasi” (Isa 61:2): ip-2 324-325
“siku ya kisasi” (Isa 63:4): ip-2 353-354