DIVAI
(Ona pia Kileo [Pombe]; Kiriba; Shampeni [Champagne]; Shinikizo la Divai)
chupa za divai zilizoachwa na askari wa Vita vya Kwanza vya Ulimwengu zachimbuliwa: g 3/08 27
divai iliyotengenezwa mnamo mwaka wa 1682: g00 9/8 29
“divai mpya ndani ya viriba vya divai vilivyozeeka” (Mt 9:17): w10 3/1 15
divai ya barafu: g02 3/22 24-25
divai ya mfano:
“divai ya hasira ya Mungu” (Ufu 14:10): re 209-210
“divai ya hasira ya uasherati wake” (Ufu 14:8): re 207-208, 244-245
“divai yenye kuamsha harara ya uasherati wake” (Ufu 18:3, maelezo ya chini katika Biblia ya Marejeo [Kiingereza]): re 261-263
‘nunua divai na maziwa bila pesa’ (Isa 55:1): ip-2 233-235
‘walioleweshwa kwa divai ya uasherati wake’ (Ufu 17:2): re 239-240
faida za kitiba: w12 8/1 26
harufu: g98 11/22 29
Hungaria: g96 7/8 30
kiasi cha kileo katika divai: g00 11/22 29
kuvu inavyohusika katika kutengeneza divai: g 1/06 14
mapipa: g05 7/22 24-27
Misri (ya kale):
mchoro wa picha: w12 8/1 26
Moldova: yb04 68; g04 2/22 23-25
Ukumbusho: rs 338; w03 2/15 15
aina ya divai inayopaswa kutumiwa: w07 9/15 31; w03 2/15 15
inafaa kutumia divai ijapokuwa inatengenezwa kwa maji ya zabibu yaliyochachushwa: w07 9/15 31
maana ya divai: rs 338
maana ya kunywa divai: w06 2/15 23-24
mkate na divai havigeuki kuwa mwili na damu ya Kristo wala haviunganishwi na mwili na damu yake: w08 4/1 27-28; bh 207; rs 205-207; w03 2/15 15
Yesu hakutumia maji yasiyochachishwa ya zabibu: w03 2/15 15
‘usiidhuru’ divai (Ufu 6:6): re 95-96
Yesu alipokuwa ametundikwa mtini:
unabii uliotimia (Zb 69:21): w11 8/15 15