Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w74 1/15 uku. 30
  • Mahali pa Mataifa Yote

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mahali pa Mataifa Yote
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Habari Zinazolingana
  • Jamii za Wanadamu
    Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Je! Kusema Katika Lugha Leo—Kunatoka kwa Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa Kati ya Watu wa Rangi Tofauti?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
w74 1/15 uku. 30

Mahali pa Mataifa Yote

Kwamba katika ufalme wa Mungu na vile vile katika usimamizi wake na katikati ya raia zake watakuwamo watu wa mataifa yote, inaonyeshwa wazi sana katika Biblia. Ufunuo 5:9, 10 unasema kwamba kwa damu yake mwenyewe Kristo ‘alimnunulia Mungu watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,’ na, chini ya usimamizi wake, “watatawala kama wafalme.” Watatawala juu ya nani? Ufunuo 7:9 unajibu: “mkutano mkubwa sana . . . watu wa kila taifa, na kabila, na jamaa, na lugha,” wote ni waabudu wa Mungu wa kweli.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki