Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w76 8/15 uku. 370
  • Sababu Gani “Vilemba Vingi”?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sababu Gani “Vilemba Vingi”?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1976
  • Habari Zinazolingana
  • Mwanavita-Mfalme Asherehekea Ushindi Kwenye Har–Magedoni
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
  • “Yesu Kristo Ni Bwana”—Jinsi Gani na Wakati Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1976
w76 8/15 uku. 370

Sababu Gani “Vilemba Vingi”?

● Ufunuo 19:12 wamsimulia Yesu Kristo, “MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA,” kama akiwa na “vilemba vingi” juu ya kichwa chake. Kwa sababu gani? Walipokuwa na mamlaka juu ya nchi zaidi ya moja, wafalme wa kale mara nyingi walivaa zaidi ya taji au kilemba, kimoja. Kwa mfano, uhakika wa kwamba Misri ya Juu na Misri ya Chini ilitawalwa na mtawala mmoja mkuu zaidi ungeweza kuonekana kutokana na vazi la kifalme kichwani​—taji maradufu au ya mwungano. Kwa hiyo, vilemba vingi juu ya kichwa cha Bwana Yesu Kristo vingeonyesha kwamba ana utawala mkubwa, wa ulimwenguni pote akiwa “MFALME WA WAFALME.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki