Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w77 7/1 uku. 295
  • Sababu Mtu wa Kiroho “Hatambuliwi na Mtu”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sababu Mtu wa Kiroho “Hatambuliwi na Mtu”
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
  • Habari Zinazolingana
  • Je! Wewe Ni Mtu wa Kiroho Kweli Kweli?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Kuchunguzwa na Yehova —Kwa Nini Kwanufaisha?
    Huduma Yetu ya Ufalme—1995
  • Unaweza Kutosheleza Uhitaji Wako wa Kiroho
    Amkeni!—2009
  • Inamaanisha Nini Kuwa Mtu wa Kiroho?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
w77 7/1 uku. 295

Sababu Mtu wa Kiroho “Hatambuliwi na Mtu”

◇ Mtume Paulo aliandikia Wakristo katika Korintho akawaambia: “Mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.” (1 Kor. 2:15) Hiyo ina maana gani? Kwa msaada wa roho ya Mungu, mtu wa kiroho anaweza kukadiri mambo vizuri. Lakini, yeye mwenyewe hawezi kuchunguzwa kikweli na wale wasio na ufahamu wa kiroho. Watu wasio wa kiroho watakata maneno vibaya kumhusu yeye, kwa sababu wana msingi mbaya. Ndivyo walivyofanya kwa habari ya Kristo Yesu, kama Isaya 55:3, 4 ilivyotabiri. Kwa hiyo, mtu wa kiroho hawezi kabisa ‘kutambuliwa na mtu’ ye yote, yaani, na mtu ye yote asiye wa kiroho.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki